ukweli tunateseka na mtandaowao ila kwasababu tumezoe na voda tunaamini ndio ntandao pekee ulibaki tanzania mnge tufikiria wateja wenu wengine tunatese na hiyo cheka yenu wakati hata hatutumii kwani msingeweka huo usumbufu kwa wale wanao tumia huduma hiyo na sie wengine mkatuacha
mi nazani ungejitahi kwanza hata ufanye kazi kwa muda ungalie je hiyo elimu ya it inakusaidia then ucheki na hicho unacho taka kusoma coz unatakiwa ujue unasoma uelewe au nini uanataka hasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.