Mi mwenzenu hii TBC huwa siiangalii! Nikijaribu tu najisikia kichefuchefu cha hali ya juu sijui kwanini asee
Labda sababu ya hiki kipindupindu kinachoendelea
Nimeamini kweli CCM kiboko! Wameshindwa kumnunua Dr Slaa lakini wameweza kukinunua chama kizima na kuweka mgombea wao!!!
Mkakati wao bab kubwa da!
Sijui nimuamini nani tena kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.