Search results

  1. Lady N

    Uzi maalumu: Wanaotumia Kikuu na Jumia kufanya manunuzi mtandaoni

    Mie nimeagiza Mara moja, mzigo ulikuwa kama nilivyoagiza, nafikiri kina kitu tunakosea wakati wa kuagiza, eh wameweka picha ya kapoch kazuri wewe unachagua kile coz bei ni cheap let's say 11000, lkn kuna poch kama hiyo hiyo bei 30000, naenda kwenye description ndio utaelewe, wanaeeka mpaka size...
  2. Lady N

    LAINI YA WAKALA

    Gharama ya hii sh ngapi mkuu
  3. Lady N

    Cheka unenepe!!!

    teh, nimecheka mpaka basi
  4. Lady N

    Sababu za kuwa na nyumba ndogo

    Mwanaume firauni ni firauni tuu hata ukimlamba m....u,mbona tunawaona huku mitaani!!!
  5. Lady N

    Just out of curiosity jamani

    Kuna wakati nikisikiliza matangazo ya vifo kwenye radio huwa nashindwa kuelewa watu wanamaanisha nini. Mfano, utasikia mwajuma ndalandefu wa Mbagala anasikitika kutangaza kifo cha babu yake kilichotekea huko Mkuurombo na mazishi yatafanyika Mkuurombo. Mipango ya mazishi inafanyika leo saa----...
  6. Lady N

    Kuitwa kazini, usaili wa mwezi Juni

    Mr wangu oct 2010 akaitwa feb 2012, u can imagine, yani lisahau kabisa maana wenzie alofanya nao walishazoea na kazi
  7. Lady N

    Kiwanja kizuri kinauzwa bei nzuri sana

    labda inajengwa nyingine
  8. Lady N

    Kwa wadau wa SUA mliokwisha ripoti chuoni

    Medical fee huwa ni 100000 ila kuna wale wanaokatiwa bima hapo chuo nadhani wanalipa 54 na kama una kadi yako ni copy tuu unapeleka ofic za bima wana kugongea mhuri
  9. Lady N

    Hebu mcheki huyu kilaza ni Nidhamu kazini au Nidhani ya uoga?

    ni zaidi ya kilaza "wapi feruz!?"
  10. Lady N

    Leomasaaayaendikamajanasijuikw anini

    macho yanauma bana
  11. Lady N

    Hata wewe ungerudisha

    na ukikutana tena na mwingine mzuri zaidi urudishe na hiyo uchukue nyingine, teh teh!
  12. Lady N

    Wezi kanisani....

    wakati nasoma nilitegemea wachukue na zile alizopewa padri, hawa wezi nahisi watakuwa wapeokoka
  13. Lady N

    Msaada wa chumba cha kupanga

    hamna sehemu ya family hapo?
Back
Top Bottom