Tunamtaka mgombea ambaye atakaye kabiliana na mikikimiki ya ufisadi, miradi inayosuasua na mikataba mibovu.
Mgombea mzalendo na atakaye pambana kwa dhati kabisa kutoka moyoni.
Mgombea mwenye afya njema atakayepambana na wafujaji, mwenye msimamo, mwenye maamuzi magumu.
Mgombea atakaye kemea...
Lingekua na kilipuzi lisingekaa kwenye foleni, nadhani ushawahi ona mkiki wao wakielekea kwenye sherehe za uhuru au wanapompokea Presidaa mgeni huwa wanaendaje airport!!
Wanazinguaga sana hao jamaa wa Tazara, Traffic akikurupuka na kuzuia ghafla magari mi hua sisimami, napitiliza hadi sehemu ambayo ni salama na inaruhusiwa kusimama. Pole mkuu, ni kuwalia timing tu basi unakua umewapatia.
Nmekutana na tatizo kama ilo leo asubuhi kwenye GT8000 ambayo ina voda line na internet ya voda pia, nlijaribu yafuatayo na baadae kufanikiwa kuingia play store leo jioni;
1. Disabled & Re-enabled 'Mobile data', changed APN - didn't solve
2. Go to Setting ->App manager->google play store...
Wapo wanaoshindwa kujua ni Lini na wapi unatakiwa kufanya nini kwa wakati upi ili kufanikisha nini?!
Mengine hayo ni matumizi tu kulingana na hulka na utashi wa mtu!
Mkuu, Unapoambiwa usipende kuchagua kazi, ina maana pana kidogo!
Using'ang'anize kazi za taaluma yako sana, jaribu hata kuficha baadhi ya vyeti ili uingie kwenye system kwanza.
Ukishaingia kwenye system utaweza kutafuta kazi uipendayo bila msongo mkubwa wa mawazo.
Kuna kiduka cha vifaa vya Tim Cook mkuu, duka la kubadirishia hela za kigeni na kimgahawa kingine kitafunguliwa hivi karibuni cha wale kuku wa Kentucky.
Dah! Sasa mbona iyo ni gharama sana, $15/siku kwa mfano ni zaidi ya 24,000Tsh, na hapa watu tunapiga mahesabu ya kuepuka 4000Tsh = $2.5 kwa masaa 10/siku endapo Tz itaanzisha parking lot zenye mfumo kama wa Mlimani City. Afterall ka kuna parking lot nyingi basi gharama inatakiwa kuwa chini zaidi.
Sawasawa, ukichukua tiketi unaanzisha stop-watch alaf dk ya 50 unatoka nje, unaenda kuingilia geti lingine unachukua tiketi tena. Unaweza tumia dk100 bure na utakua umemaliza shughuli yako! Uvumilie usumbufu wa dk20 za kutoka na kuingia tena, na ndipo utagundua umeokoa Tsh 500/- tena ya sarafu...
Hapo nimekuelewa mkuu, nashukuru kwa ufafanuzi. Kumbe nahitaji kupata ufunguo kwanza alafu ndo swala la programming linafata, hapo sawa. Ntakutafuta mkuu mimi niko Dar ila nasafiri kidogo, nkirudi ntakutafuta mkuu maana nahitaji sana huo ufunguo.
Mkuu nahitaji kuelewa zaid kabla cjakutafuta. Aina ya gari ni Nissan Murano 2005 Model, Funguo yake yenye remote imepotea na sasa spare yake ilokuja nayo ndo inatumika. Naomba nileze nawezaje either pata ufunguo mwingine wenye remote or spare nyingine ya kawaida isiyo ya remote? Pili, unaposema...
Apple inabaki kua nzuri kimfumo umbo na urahisi kimatumizi endapo mtumiaji atakidhi gharama za APPS ili kuifanya iweze kuwacliana kirahisi na vifaa vingine vya android/windows OS. Vifaa vya apple ni vizuri/makini na unique ila vina uchoyo wa hali ya juu kwenye kujamiiana/kuingiliana na vifaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.