Search results

  1. M

    NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

    Umenena vyema mkuu, katiba inayopendekezwa ipo hapa. Tovuti Rasmi ya Bunge Maalum la Katiba. | Nenda sehemu ya matangazo utapata nakala uisome upate msingi wa hoja
  2. M

    Hizi ni sababu tosha kwamba katiba inayopendekezwa ni 'feki' na haiwezi kupita!

    Just a slip of the tongue/keystroke, nevertheless you got the message.
  3. M

    Hizi ni sababu tosha kwamba katiba inayopendekezwa ni 'feki' na haiwezi kupita!

    I keep wondering why we Tanzanians always have to think in the opposite, we are not being critical we just think negatives, very bad altitude, bad indeed!!!.
  4. M

    Gari la Mbowe lashikiliwa Mombasa, Kenya baada ya kukutwa na namba za gari mbili tofauti!

    Pamoja na ukweli namba hizo haziruhusiwi kutumika kwa wakati mmoja.
  5. M

    Mbowe kuwaingiza rasmi CUF na NCCR Serikali Kivuli Bungeni

    Looks like situational driven politics, ni nini kilizuia asitushirikishe tangu alipounda baraza hilo awali?
  6. M

    Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

    Maskini MARANDO anaweza kutaja namba za simu kwa ufasaha LAKINI hajatueleza wananchi PROOF yake kuhusu U FAKE wa ile video!!! That is what we want to hear right now. EBO,!
  7. M

    Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

    You take me by surprise!! kumbe bado wanajenga minara hadi sasa. Yericko nashauri kuwa si sahihi hata kama ni uhuru wa kujieleza, kuelezea strategic plans za majeshi na taasisi za usalama. Unatoa taarifa za bure kwa taasisi za kijasusi. kumbuka wanaohamasisha uhuru wa habari na wa kujieleza...
  8. M

    Waziri mkuu mizengo kayanza pinda haya ndio maoni yako yanatisha wananchi

    Kila mmoja yuko huru kutoa maoni yake, katika hilo hakuna kiranja wa mwingine. Mimi nilidhani maoni yako ni mazuri sana njia rahisi badala ya kukosoa ya pinda, uyatoe kama maoni yako kwa kuwa tume inayapokea kwa uzito wake na siyo kwa personality ya mtoa maoni.
  9. M

    WANASAYANSI, nijibuni plz!

    Radiation from the sun does not generate heat as it passes through the atmosphere until it hits the earths surface. since air is not a very good conductor of heat, heat is lost with distance away from the earths surface. the mountain top is some distance away from the larger area of the earths...
  10. M

    A Poor President - Only owns a Voxwagen

    If I may ask what do you own?
  11. M

    Kanali mstahafu wa jeshi anapoumwa jeshi laweza kusaidia matibabu?

    Nadhani ungemtaja kwa jina na mahali alipo ingefaa zaidi
  12. M

    Niuongo na uzushi kusema wanajeshi wanaunga mkono serikali hebu tuangalie facebook page zao

    Kwa hiyo unafikiri utatuzi wa matatizo hayo ni facebook!! I thought kuna njia nzuri zaidi ya hiyo, Mazungumzo siyo kulalama kwenye social media.
  13. M

    Viongozi wa Bunge na wabunge someni hii kisha mtafakari "Bunge la Hoja Vs Bunge la Kanuni"

    Dr. kitila nadhani kubeza kanuni si sahihi, masuala mengine umezungumza yana mashiko kiasi. Nadhani ngezungumzia Bunge kuwa la HOJA NA LENYE KUFUATA KANUNI, kama mtaaluma ningekupa Bigup. Unaniacha hoi pale unapo refer kwenye magazeti, nilitegemea uzungumzie matokeo ya utafiti nadhani...
  14. M

    Tunahitaji tume huru kwa tukio la dr ulimboka sio usanii wa kova!!

    Ingekuwa vema hata ukajifunza lugha ya kiswahili vizuri maana ni lugha ya Taifa.
  15. M

    Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

    Kwa mawazo haya, sishangai kuona mnawaacha ndugu zetu wafe kwa kuwafurahisha hao mabwana. Haikutegemewa kuwa hadi miaka hii bado tuna wasomi wenye mitazamo ya aina hii. "Just thinking loud!"
  16. M

    Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

    Sasa naanza kuelewa kuwa macho ya binadamu si kama nilivyokuwa nayajua mengine yanaona DUNIA iliyojaa MADAKTARI tuu na hakuna kitu kingine!!, Na watanzania tunawategemea wasomi wetu wenye mtazamo wa aina hiyo watoe ushauri kutuongoza watanzania!!!
  17. M

    Mbinu chafu za serikali kuficha ukweli juu ya Dr. Ulimboka

    Sijui unajisikiaje kutunga Habari inayohusu maisha ya Mtaalam wetu Dr. Ulimboka? Tatizo tulilonalo hapa ni kuwa kila mmoja ni mtalaam wa kila kitu, anaweza kufanya uchunguzi mezani na akatumia matokeo ya uchunguzi huo kujipatia umaarufu wa kisiasa na uanaharakati. Wakati huu ni wa kumuombea Dr...
  18. M

    Kipanya nomaaaa, Isemee na wewe picha hii.

    Hongera kipanya! LAKINI graph yako inaonesha figure TU, tungeomba kujua VIGEZO ulivyotumia na uwiano wake na graph yako ili kwetu watafiti itusaidie zaidi.
  19. M

    Kama sio DR. Slaa, Godbless Lema ndiye Rais 2015

    Subiri uchaguzi mbona unatupangia VIONGOZI!
Back
Top Bottom