Search results

  1. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Viongozi wa dini hawakukemea mauaji Kibiti? Ushahidi wa barua huu hapa

    Wengine wanatumia letterhead. Staili yetu watanzania hatuhitaji letterhead:confused: https://jesuits.org/Assets/Publications/Snapshots/katrina-pdf-thumb.jpg Our Status in the Church http://stjohnsstamford.com/religious-education-012816/ Statement of the Catholic Bishops of Uganda the current...
  2. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Viongozi wa dini hawakukemea mauaji Kibiti? Ushahidi wa barua huu hapa

    Baraza la Maaskofu (TEC) hawana karatasi zenye letterheads?.... just thinking aloud:confused::confused::confused:
  3. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Nani kawadanganya maaskofu?

    Kwani kuna shida kupeleka maombi kuombewa? Wengi tu wanaombea viongozi, hata Sangoma na wafuasi wao... bado tinasubiri waraka wa Sangoma kuhusu sirikali na viongozi wake:D:D:D:D:D
  4. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Nani kawadanganya maaskofu?

    Maaskofu ni viongozi wa TAASISI ZAO ZA KIDINI. TAASISI HAZIPIGI KURA; Watanzania (individually) wanapiga kura.
  5. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Evarist Chahali: Kuna kiongozi wa nchi jirani ana "compromising information" kuhusu kiongozi mmoja "Mkubwa"

    Huyo Chahali awache fiksi. Mashushushu hawastaafu, bali wanabadili tu modus operandi:D:D:D
  6. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Lissu: Wanachama wamepitisha azimio la kumvua uanachama Mwakyembe, wanasubiri maamuzi ya viongozi

    Assuming Mwakyembe anavuliwa ujumbe wa TLS, hii itaathiri vipi usajili wake kama mwanasheria?
  7. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Mwakyembe asisitiza: Hatukubali TLS kujiingiza katika siasa

    Mheshimiwa: Kuna tofauti kati ya Law (Sheria) na Lawyer/Advocate (Mwanasheria) Labda unielimishe. Ni chama gani kingine cha professionals ambacho kimeanzishwa kwa sheria ya Bunge? e.g madaktari, wahandisi na kadhalika? TLS imenzishwa kwa sheria ya Bunge (The Tanganyika Law Society Act) Kama ni...
  8. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Mwakyembe asisitiza: Hatukubali TLS kujiingiza katika siasa

    Sahihisho kidooogo: Tanzania Law Society = (?)Chama cha Sheria Tanzania NOT Wanasheria. Tuendelee :-)
  9. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Kama ni kweli na ushahidi upo....

    Who bears the burden of proof? The accuser or the accused? .... ni mtizamo tu!
  10. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Kodi kwa vifaa vya ujenzi

    Lakini rates kwa ujumla zipoje sheikh? Kwa sababu kuna vitu vingine quality yake ni nzuri kulinganisha na vya kwetu
  11. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Kodi kwa vifaa vya ujenzi

    Aslaaam Aleykum waungwana. Mimi nina mpango wa kununua huku ughaibuni vifaa vya ujenzi kama bati, nondo sementi. Je kodi za ke na ushuru wa forodha unakuwaje?
  12. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Waziri Muhongo apiga marufuku wafanyakazi wa wizara yake kupewa bonus

    Hiyo bonasi ipo kwenye mikataba yao ya kuajiriwa?
  13. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    TANZIA: Christina Lissu afariki Dunia jijini Dar

    Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un
  14. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

    Katika dunia ya sasa hivi, ambako kuna madaktari wasomi wengi, pengine haikuwa busara kumchagua AMO kuwa mganga mkuu wa mkoa. Lakini tukirudi nyuma, kuna AmOs ambao walichanguliwa kwa cheo hicho na kazi yao ilikuwa exemplary. Kwa mfano aliyekuwa Mganga Mkuuu wa mkoa wa Iringa kwa miaka mingi...
  15. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Dkt. Mwakyembe: Nimekerwa sana na msimamo wa Jeshi la Polisi juu ya afya yangu

    I think it is high time Dr Mwakyembe come to terms with his illness. It will help him in the healing process. The symptoms he has, as seen in his pictures, are suggestive of dermatological manifestations of adverse drug reactions such as Stevens-Johnson Syndrome (SJS) or Toxic Epidermal...
  16. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Dawa ya kiuno

    Pole mkuu. Maelezo yako ni mafupi kuweza kukupa ushauri mzuri zaidi ya kukushauri ukamwone daktari. Mara nyingi maumivu ya kiuno yanatokana na tatizo la prostatitis, ambayo inaweza kusababishwa na infection kwenye njia ya mkojo au sababu nyingine (non-bacterial). Hima kamwone daktari.
  17. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Msaada wa ugonjwa sugu wa ghonorea

    Wamoro kuna vitu muhimu vya kuangalia kama kweli ni gonorrhoea, na kama ni gonorrhoea ni wadudu sugu au la au ni wadudu wa magonjwa mengine. Nakkushauri ukamowone daktari, nina imani kitu cha kwanza atachofanya mi kukuandikia vipimo vya culture and sensitivity(c/s) ya hiyo discharge yako. Majibu...
  18. Pangu Pakavu Tia Mchuzi

    Elimu kuhusu Kifafa cha Mimba: Fahamu Chanzo, Dalili, Tiba na Tahadhari

    Semesozi, kifafa cha mimba, au kwa lugha ya kitaalamu preeclampsia/eclampsia ni medical emergency. Nina imani kuwa mkeo sasa hivi atakuwa chini ya observation ya madaktari muda wote. Kama bado basi fanya hima uhakikishe kuwa anapata hiyo attention. Sidhani kama kuna ushauri wa maana utapata...
Back
Top Bottom