najuta kuoa mapema kwani ningemwoa joyce mhavile kwani mpaka sasa hajaolewa hana mtoto ,eti ni chakula ya mzee,kama ni chakula ya mzee si amsaidie sasa mbona kila mtu anatimka ITV ,ukiuliza joyce mhavile na hao waliopo wanalalamika jamani mpaka unawaonea huruma jamani kama mna uwezo TBC ipo kwa...
ndugu zangu hakuna lolote wao walikuwa mawaziri siku za nyuma ndio wameifika hii nchi hapa tulipo ,haya madhara ya sasa ni pamoja na mipango na misingi mibovu ya serekali zilizopita.kwani mambo yalifanywa mengi sana ila ilikuwa sio rahisi kupata taarifa .
mfano mzuri kipindi cha mkapa...
nimefurahishwa sana na kichwa cha habari ,hii nani kailoga Tanzania,Tanzania haijalogwa ila watu wake wamejiloga wenyewe,Duniani kote 'UMMA' yaani wananchi ni tajiri wa kwanza ,unaweza ukawa billionea lakini kama huna watuutajiri wako ni bure,maana yake ni kuwa wananchi wa Tanzania wanapaswa...
habari za nyongeza kutoka ndani ya kikao dodoma
jamanihakuna jambo ambalo halikuzungumzwa mzindakaya ndie aliependekeza lowassa,rostam waitwe na mjumbe mwingine akasema bila kumsahau membe na speaker .
hiovyo sophia katika kujibu hiyo hoja akasema jamani hakuna jambo linaloshangaza kama...
Wakati malumbano mbalimbali yanaendelea kuhusu hoja alizotoa Mh Sophia Simba bado kuna mengi aliyoyasema ambayo bado hayako katika public forum.
Hizi ni habari za ndani zilizotujia.
Mh Sophia aliwaambia wabunge wa kamati maalumu inayoongozwa na Mzee Ruksa kuwa hii nchi inayumbishwa na watu...
Naona wote mmechangia kuhusu milioni 400 - kama zilikuwa na tij au la.
Swali muhimu ni kwamba,kwanini walificha vielelezo wakati ule, jambo ambalo lingerahisisha maamuzi yakichukuliwa kwa wakati mmoja na ya uhakika. Issue ni kwamba walitumia pesa za umma and then wakaficha vielelezo vingine...
Naona wote mmechangia kuhusu milioni 400 - kama zilikuwa na tij au la.
Swali muhimu ni kwamba,kwanini walificha vielelezo wakati ule, jambo ambalo lingerahisisha maamuzi yakichukuliwa kwa wakati mmoja na ya uhakika. Issue ni kwamba walitumia pesa za umma and then wakaficha vielelezo vingine...
Tanzania ni Nchi na sio NGO
Kamati ya bunge ya kuchunguza kampuni ya kufua umeme, Richmond, ilitumia kiasi cha shillingi za Tanzania zisizopungua millioni 400.
Vyanzo vya uhakika kutoka hazina vimethibitisha kuwa, kiasi hicho kikubwa cha pesa za wakipa kodi zilitumika kwa kusudi la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.