I fully concur with you on those 2 gaffers (Diego & Conte).
Our best bet though could be Diego. With Conte, the FSG model won't suit him as this gaffer thrives on marquee signings which he'll never get at LFC.
There aren't many Klopps out there unfortunately... so I think when he leaves, the...
Ya sasa ni ya mapolisi....inaruhusu mapolisi kuwanyang'anya watalii mali zao pale IGP atakapojisikia kufanya hivyo.
Ni watalii wenye roho ya paka tu (ambao si wengi kama takwimu zinavyothibitisha) ndiyo wanaoweza kuja katikati ya mazingira kama haya!!
Mpira haupo hivyo ndugu. Wenyewe wanasemaga mpira unadunda.
Miaka ileee mlifungwa na Mufurila 4-0 nyumbani lakini mkapindua meza 5-0 ugenini.
Msimu ulioisha mlizifunga karibia timu zote kubwa barani Africa but katika ligi ya nyumbani kwenye dimba hilo hilo Vyura wakawanyoeni kidude.
Watalii hawaji mpaka demokrasia itakapotamalaki Tanzania. Chungu kumeza but ndiyo ukweli.
Watalii hawataongezeka hadi pale katiba mpya itakapoandikwa. Unadhani JK (ambaye alikuwa ana interact sana na watalii wakati ule akiwa rais) alikuwa mjinga kuanzisha mchakato wa katiba mpya?
Serekali ya CCM awamu ya 5 pia ilikuwa ikijinasibu kuwa eti uchumi wetu ni mzuri sana wa viwango vya lami.
Serekali ya awamu ya 6 (hii nadhani ni ya Chadema hii) imekuja inatuambia eti hali ya uchumi ni mbaya sana.
Bora tuirudishe tena CCM madarakani 2025 tuiondoe hii ya sasa ya Chadema!!
Here is my take (bitter but can safely say nearly factual) based on my observation during the past 2 seasons:
A: Take VVD out of our team (even with Klopp at the helm):
1. In the EPL, we'll be relegated into a top 4 dogfight, not title contenders. Even this will be all down to Klopp's magic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.