Kwa kauli yako hiyo uliyoitoa kwa mke yeyote yule lazima angekasirika hata kama mtoto ni wa kwako.Nakushauri endelea kuamini ya kwamba mtoto ni wa kwako ili kudumisha na kuimalisha hiyo ndoa yenu.Otherwise kama kuna previous cases zinazo kufanya usimwamini mwenzako hapo unaweza kufikiria mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.