C'mon bana,hujamuelewa vizuri jamaa,nadhani kwa lugha aliyotumia,hajasema scalpers hawameki money ila nadhani alichokua anamaanisha hawameki kiasi cha kuwazidi institutional traders like banks au individuals wenye capital za 1m kwenda juu,yeye kasema hela ya kula ambayo ni kweli ukilinganisha na...
Ni mtu mpuuzi tu atayeendelea kuamini kuwa haya mashenzi ni taifa takatifu,kwanza hayaamini uwepo wa Mungu,ni mashoga na yanafanya ushenzi wa kila namna.
Mshukuru mtu akikuita mjinga maana kuna matumaini siku moja utakua mwerevu,kuliko akuite mpumbavu,maana kuna aina mbilinza binadamu,wajinga na wapumbavu.
Huwezi withdraw,unachofanya ni kuhamisha kwa acc ingine ya tickmill,nakushauri fungua tickmill pro account,utatakiwa kudeposit 100$ ndo wataruhusu uhamishe.
I'll fill ur body with so many holes that you'll get confused which one to breathe from/on-salman khan in the movie Dabang,the only indian movie that i have actually liked.
Acha telephone farming,hakikisha umeshuhudia mizoga au ht hao kuku wanapoumwa na sio kuambiwa na mfanyakazi.
Watenge wagonjwa,wape antibiotic kwanza,homa ikipungua wape chanjo husika.
Zingatia usafi wa banda na next time nunua vifaranga cuz ni rahisi kufuatilia malezi kuliko kuku wakubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.