Search results

  1. N

    Eng Mhando voted best East African power Utility CEO

    Mhe Manamba hii avatar yako imenikumbusha ule mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia mabaki ya mkonge sijui uliishia wapi.
  2. N

    Mgao wa umeme wa kufa mtu watangazwa, Juni 2011 na kuendelea

    Hiyo ndio Tanzania bwana. Mipango mingi ya kuvutia lakini utekelezaji zero. Ati sasa ndio wanatafuta fedha za kununua mafuta mazito kwa ajili ya kuendesha mitambo ya IPTL walikuwa wapi wakati wote? Yaani kaaazi kweli kweli.
  3. N

    Nikaishi wapi Dar hii, nikimbie hizi foleni?

    Mheshimiwa Solar Power Je, huo usafiri wa umma uko wapi? Ni huu wa watu kusubiri saa kadhaa vituoni bila kujua watafika lini kazini au kurudi makwao saa ngapi? Je, ni huu usafiri ambao watu hupitia madirishani badala ya milangoni ili kuwahi siti? Kama ni huu basi wazo lako haliwezi kutekelezeka...
  4. N

    Huyu Dada anastahili pongezi kwa kweli...Tazama.

    Kwa kweli huyo dada ni mkali wa soka na akionyeshwa njia tu ni hazina kubwa kwa Taifa Queens na nchi kwa ujumla.
  5. N

    Watoto waletwa kujaza viti Karimjee Hall-Katiba

    Halafu kuondoa yale mambo ya msingi katika rasimu hiyo ya katiba kama mamlaka ya Rais, uwepo wa serikali ya mapinduzi ZNZ, Uwepo na au muundo wa muungano na muundo wa serikali n.k ili yasijadiliwe ama kutolewa maoni na wananchi maana yake nini? Si afadhali wangekaa huko huko serikalini...
  6. N

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hivi wadau Arsenal tuna mkosi gani? mbona mechi za muhimu na za kugangamala tunafungwa au tumejitahidi sana sare? Mfano ni mechi ya leo na Birmingham city yaani tunafungwa dakika za majeruhi! Kwa kweli inavunja moyo sana.
  7. N

    Mambo ya uswazi!

    Mhe. Rungu naungana kabisa na tasia I na Shakazulu. Unafikiri kama lingekuwa timbwili kweli hiyo kanga au hiyo bukta ingekaa mahali pake kama hivyo? Yaani hata miguu yao ni misafi kabisa. Kweli hawa wanajifurahisha tu.
  8. N

    Mapenzi si umri, a nice pic.

    Huyu ni mzee wa ukweli! Hapa alikuwa anaonyesha kwa vitendo jinsi alivyokuwa mahiri enzi zake kuwanasa vidosho. Ng'ombe hazeeki maini bwana alaaaa!!!
  9. N

    Mapendekezo ya muundo wa baraza la mawaziri - 2010-2015

    Mhe. Mwanakiiji mimi ninakubaliana kabisa na mawazo yako kuhusu muundo uliopendekeza wa serikali kwa kweli umekaa vizuri sana. Kama kweli tunaweza kuweka muundo huu halafu huko mbeleni kutokana na jinsi utakavyofanya kazi na matunda kuanza kuonekana basi tunaangalia tena jinsi ya kuuboresha ili...
  10. N

    Angalizo kwa wana JF - Lugha ya matumizi ya nguvu haina nafasi

    Well said Mhe. Mwanakijiji.
  11. N

    Obama's shine in Asia trip...safi sana!

    Safi sana.
  12. N

    Elections 2010 Nani kuukwaa uwaziri mkuu?

    Kwanza mhe. huna taarifa sahihi. Ile ofisi ya Urambo Mashariki si ya Spika ni ofisi ya mbunge yeyote ambaye atachaguliwa na wananchi kuwatumikia wana Urambo hata wa chama kingine. Ni mpango mahsusi wa serikali kujenga ofisi za wabunge zenye hadhi kama ile katika majimbo yote ya uchaguzi likiwemo...
  13. N

    DU! Goli la NNE.... CCM wanajifunga tena hapa....

    Hiyo ndio CCM chama ambacho kimesahau kuangalia na kusimamia maslahi ya wengi (wananchi) na kukumbatia maslahi ya watu wachache au kikundi cha watu. Kwa mtazamo wangu maamuzi kama haya ndio yaliuwa vyama vingine vya ukombozi Afrika kama KANU-Kenya na UNIP-Zambia na CCM wanaelekea huko huko...
  14. N

    CCM yakatakaza wagombea wake kuonekana TBC1, Tido Mhando ataarifiwa

    Inaelekea hiki chama bado kina wadharau wafanyakazi katika sekta ya umma na binafsi ambao hawawezi kuhudhuria kampeni za chama hicho kwani kwa muda wa kampeni wanakuwa vibaruani mwao. Zaidi ya hayo inaelekea kuwa hiki chama kimekuwa na zile kampeni za kijima hivi hawaoni nchi zilizoendelea...
Back
Top Bottom