Kama mnapendana kweli na mna malengo mnaweza kusaidiana pindi mmojawapo anapokuwa na tatizo bila kujali upande wa mwanamke au mwanaume. Lakini kitendo cha kumwachia mmoja majukumu yote hapo mapenzi hayapo ni utapeli tu coz pindi utaposhindwa kumpatia kila anachotaka ni lazima amtafute wa...
Upendo, Umoja, Bidii katika kazi, Pia hawa jamaa huwa wanapenda kumsaidia mtu namna ya kutafuta na kufanikiwa. (Hawakupi samaki ila wanakufundisha na kukuwezesha kuvua)
HUYO DEM CYO KABISA, KAMA AMETHUBUTU KUMPA RAFIKI WA BOYFRIEND, SASA HAO WASIOJUANA NA HUYO BOYFRIEND WAKE SI NDO KABISAA WANAKESHEA. ILA LAWAMA CYO KWA BINTI TU HATA HUYO RAFIKI AKE NA DOGO NI MNAFIKI TENA MTU HATARI SANA. SEMA NA DOGO UOKOE MAISHA YAKE TENA KAMA UNA MUDA MPELEKE DOGO ANGAZA...
Kimsingi unatakiwa kuachana na hizo mechi za nje utulie na Wife, Alafu utafute chanzo cha hilo tatizo.
Kama bi mkubwa ndo kakufanyia hivyo ujue hilo nalo ni tatizo kwani mwisho wa cku unaeza ukawa doro mpaka mechi za nyumbani.
Kaaazi kweli kweli, Huyu mwana dada Hawez kuwa mhandisi, coz kule cdhani kama kuna type hizi. Naona huyo mhandisi kulia alikua anapiga FLUID MECHANICS, Hayo ni maandalizi ya kushikwa shati na maprof coz kwa mtindo huu hatachomoka m2
Haya ndiyo matoke ya kutongoza kwa kujisifia ili ukubaliwe kiurahisi! Sasa ndo wakati wa kutimiza hizo ahadi ulizotoa... Siku nyingine ukiwa untongoza unatakiwa kuwa muwaz na mkweli ili kuepuka kuwawezesha hao warembo kuvuna wasichopanda
kweli hazina lolote ila ni wa2 wamejiwekea mazoea tu na kuziaminisha brain zao kuwa zina efffect coz kuna jamaa wengine hawawez kukutana na mdeme bila ya kutumia
Huyu bint atakuwa mtaalam wa mambo ya uchumi coz kafikiria mbali sana kwan ana uhakika akiwa na huyo mzee anawezapata kila kitu atachotaka coz money is every thing! akitaka pesa anachukua kwa mzee, akitaka kumaliza haja zake za mapenzi, anachkua pesa kwa mzee then anaenda kutafuta kijana mwenye...
Hivi jamani hamjagundua kuwa wanawake nao wamekuwa mabingwa wa kudanganya cku hizz??? kama una tendence ya kumdanganya na wewe utaishia kudanganywa tu! Angalia usije ukapendwa kwa ajili ya uongo wako. Mpe nafasi akupende kama ulivyo
Hivi jamani ni kwa nini haturidhiki nakidogo tunachokipata kwa njia ya haki????
Kama hizo taarifa ni za kweli, Hiyo itakuwa ni tamaa ya Kutajirika kwa muda mfupi. (Always shortcut is a wrong cut)
Tujifunze kutokana na Makosa ya wenzetu tusisubiri mpaka Yatukute coz itakuwa too late
Dah! kachelewa kidogo coz TANESCO walikua wametangaza nafasi nyingi zikiwepo hizo za Mechanics -VETA. na mwisho wa kutuma maombi ilikua jana j5. ila tupo pa1 kama zikitokea nafasi nyingine tutaambiana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.