ATCL ikizindua kwa shangwe ndege zake mbili Dash400, RwandaAir NATO kupokea ndege yake mpya ya Dollar milioni 200+
http://allafrica.com/stories/201609280161.html
Mdogo mdogo tutafika. Ila tungekuwa wapole kidogo na kuacha mbwembwe.
Nadhani jeshi la polisi linahitaji mazoezi pia ya kutumia vifaa vyao.
Hii ni Sawa kweli? Uzio wa polisi nadhani unatakiwa kuwa umezuia eno tosha na sio kama picha hizi zinavyoosha.
Kesho wana zima network kwa kwenye simu ambazo ni "fake".
Mawazo yangu, kwanini TCRA hawakufanya kitu kama majaribio . kuanzia tarehe 1 June kuna majaribio ya kuzima mitambo ila ifikapo tarehe 16 ndio zoezi zima litakuwa limekamilika and no turning back.
Sawa wametoa matangazo namba yabl kujua...
Efm need to be more creative. Unajua kama kina hando ni big names kwenye media za bongo so movement zao lazima ziende na wengi. Kipindi hakiko stable music kila Saa hakuna dialogue na watu wengine Yani kwa kifupi narudi clouds cause of Barbara Hassan. Kipanya hamna kitu. So Efm need to wake and...
Jumatatu ya tarehe 2 May ndio utambulisho rasmi wa magwiji wa vipindi vya asubuhi redioni Gerrard Hando aka Mzee Mkuda na Paul James aka PJ wakiwa ndani ya kituo kipya cha E.FM 93.7
Unadhani kati ya kipindi cha Joto la Asubuhi cha E.FM na Power Breakfast cha clouds FM kipindi kipi kupata...
Asante kwa usahihisho. Maana yangu ni kuwa simu nimenunua Tigo na sio huawei risiti ni ya Tigo na pia wao kama watoa Huduma za mawasiliano pia wao wanauza bidhaa zake pia. Kwa hiyo simu nimenunua duka la Tigo makao makuu makumbusho. Na Tigo kama Tigo kwa nini wawe na bidhaa feki? Je walio...
Simu yangu ya huawei nimenunua kwenye duka la Tigo makao makuu makumbusho. Hivyo nikawa sina wasi wasi kwamba itakuwa feki.
Ila jana nikiwa na wenzangu topic hiyo ikaanza.
Nikasema yangu haiwezi kuwa feki sababu nimeuziwa na Tigo.
Ila baada ya mabishano na kufata maelekezo ya namna ya kujua...
Kuna fake vocha katika huo mradi. Vodacom hawakujua na hapo ndipo tatizo. Kama mtumiaji was Vodacom kuna wakati vocha nyingi za hero zilikuwa tayari zimetumika licha ya kuwa was kwanza kukwangua na kutumia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.