We bidada visa hivyo. Angeanza kuchangamka kuingia jikoni ungenuna na kumsusia jiko. "maana waswahili jiko linawauma sana.Tena huyo anaheshima na ustaarabu, ni kwa kakayake lakini kawa mgeni hataki makuu.
Hamkawii kuanza kuchonanisha MTU name kakake nyie.
Mtakalia kuvaa suti na tai huku mnapata vicent kiduchu then matibabu ya kuunga unga , elimu ya Sinai shida kisa ulaya halingumu. Maisha popote, na ni jinsi mtu unavyoyachukulia na malengo yako. Ulaya hakuna longo longo wala mishen toun.. waliozoea short cut za bongo na ujanja ujanja lazma wakimbie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.