Akili za watanzania buana....yaani badala ya kusubiri tuone itakuwaje lakini mmeanza mifananisho na kujitapa kuwa tz iliwasambalatisha ....Mi nikuambie tu Tz waliwafukuza tu ...walicho kifanya tz ni kama vile umeanika mpunga hafu kuku wamevamia na kuanza kula hafu wewe ukaja wafukuza ...unazani...
We jamaa kwanza ni muongo hajui hizo dollar ni sawa na shilling ngapi za Tz...swali jamaa ulimtumia dollar au.....
Kwa ushauri unamwazimaje mtu hela kama hiyo kwa ahadi ya kukurudishia jioni ...kwani jioni yake huyu jamaa ako ilikuwa ya mbali sana ? awezekani ukope mchana useme jioni...
tehe tehe tehe.......ukiona wanarudiarudia tangazo ujue wanakimbia sana hiyo nafasi.
kwanza wakopaji wengi saizi hukopa vikoba na kwene vikundi. kumshawishi mtu huku umwambie awake hati, Mara mali zake lehani nani ...
Kwani bandarini wamejiweka au wamewekwa na mamlaka ...kama mamlaka ya juu ndiyo wamewateua na kuwajiri huna haja ya kuhoji utendaji wao..wenye mamlaka ndiyo watapima utendaji wao..
Ulitaka waibe wapi ...saiz nikupiga tu. nawe ucjekuwa unataka uteuzi!! maana kama wanazipiga karipo vyombo vya sheria .huyu unaemwambia ndyo kazi yake?
Jamani habarini , Naomba kwaanaewajua vizuri hawa Funds for Africa, kuna Post yao ya field officer niliombaga sasa wamenijibu kwa kunitumia attached form inayonitaka nijaze hiyo moja, lakini pili wamenitaka nifanye kitu kinaitwa Psychometric Assessment tests ili Report yake niweze attached pia...
Mimi nakushauri kama kutakuwa nahesabu ingia Google search " Indiabix" hawa wana applitude test za kumwaga za kila aina soma hapo ....wengi hata bank zetu Wanadesa huku nakujifanya wajanja.
Habari wakuu naombakuuliza hao jamaa nimefanya nao interview mbili za oral .....na kazi yao niliomba kupitia empower... nifanye na walisema interview ile ya pili ndo ya mwisho....sasa hadi sasa nimeingia wiki la pili kimya ..naomba kujua kama kuna mtu pia alifanya kama walisha ita au kimya na je...
Samahani wakuu naomba kufahamu hilo kama kichwa cha habari kinavyoeleza.
Nimejaribu kujiuliza elimu yetu vs msaada katika maisha ya kawaida our educational is non creativity, hata ukiuliza nini matarajio hakuna anayeweza elezea zaidi ya baada ya kumaliza ntaajiriwa.
Nimwaza sana juu ya elimu...
Kiukweli ma businessmen wasirudi hapa yawezekana ni kamchezo kwamba waje wakamate tuwahoji na wafunguliwe kesi......na kufungwa
hapa cha msingi tuwazalishe upya wafanya biashara, lakini kwa waliokimbia wakisikia hii inazuka wallah hawatataka kuja uku mmmmh late see and time will tell....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.