Aisee mekuu, umenena!!! I couldn't have put it better myself na ukweli ndo huo; wanawake wanatafuta wanaume who can "protect" them, wanaume wanatafuta wanawake who can "look after" them na wote wanatafuta better genes.
MTM naomba uniwie radhi, it was a slip of ze vidolez. Uzee huu!!
Haya jamani kuhusu hii romantic love maana ni field nyingine ambayo imepewa reputation of being "opportunistic love" hapa. Kama tunaongelea kuhusu mapenzi ya kweli kati ya mwanamke na mwanamume, nadhani ni safe ku assume romance...
Hahahaaa!! Pole sana kaka! Mi ninavyo hisi huyo mkeo anataka attention tu. Mbembeleze bembeleze, mtanie tanie, mtekenye kama necessary. Akianza kuleta za kuletwa mwambie, "switi ukinuna unapendeza wewe, hadi natamani ........" jaza unavyoona fit mwenyewe. Au jidai kama huja notice kama amenuna...
Kwa kweli!!! Why is it not fair in this case? The guy worked for his money so it doesn't get any fairer than that. What is not fair is our wealthy politicians getting vitambis and magari manne in their big ass garages from money that's not theirs (za walipa ushuru na za misaada ya kutoka huko...
TMT, nitamuachia VC akujibu mwenyewe in her own time so I'm not attempting kukujibu ila ni mchango wangu tu;
Kwanza kabisa, unakubali kwamba there's no free lunch? In order to get something, you need to do something, au siyo? In this very complicated topic of "true love" nahisi the same rule...
Aisee Pretty pole sana.
Wifi yako seems to be one of those ppl wasiokuwa na satistying lives of their own. Ushauri wangu kwako; mpigie hilo goti whenever you see her (kama hamuonani often) au you will never hear the end of it. Ukiona yanakushinda, njoo kwetu Kili, ;p
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.