Hongera Kijana naona "Kivuli" cha kuota kuwa Naibu Waziri wa Fedha kinakutesa Pole sana Kijana.
Uwaziri hautafutwi kwa namna hiyo na ile Suit uliyoishona kwa ajili ya kuapishwa kuwa Naibu Waziri wa Fedha wewe endelea kuivaa wala usione aibu.
Sasa ulitaka kuwa Naibu Waziri wa Fedha ukafanye...
Daktari Slaa [Mpora Wake wa watu na mchukua pesa za chama kwa njia ya kujikopesha] aliwahi kusema zaidi ya mara moja kwamba CDM watahakikisha Nchi hii haitawaliki nadhani na yeye awe miongoni mwa watu wanaopaswa kuhojiwa.
Hivi mnaojadili kwa kusema U.S.A imefanikiwa kwa kuwa na Majimbo mbona mnashindwa kutumia uwezo wenu kutafakali?
Unaweza kweli kulinganisha Tanzania na U.S.A?
Taaluma ya Ulinganifu inasema linganisha vitu vinavyoweza kulinganishwa.
Tanzana Kenya na Count zao hadi sasa wameshindwa kuafikiana...
kuna wakati napata shida sana kuamini kwamba Jamii Forums ni Great Thinker kwa aina ya watu wanaochangia Mijadala humo hawaoneshi kwamba wanauwezo wa kufikili. Nadhani Jamii Forums kwa sasa iitwe Lower Thinker kwa aina ya watu wanaochangia na aina ya Mijadala inayoendelea.
Sikuwahi kuifahamu zanzibar na hasa wananchi wake lakini nimepata bahati ya kujifunza mambo yafuatayo kutoka kwa wazanzibar
1. Ni wajinga wasiokuwa na uwezo wa kufikiri wala kutafakari- kutoka na ujinga wao wanaamini kila wanachoambiwa na viongozi wao kiasi kwamba hata kama wanaambiwa ingie...
Suala siyo Nchimbi, Mwema na Nahodha kung'oka unamuachaje yule jamaa anafunga mustachi Othman Rashid?
Hebu jiulize hivi kweli Usalama wa Taifa upo kazini au nao umekaa kuiba mali za nchi na kununua magari na kujenga maghorofa ukihoji unaambiwa suala la Usalama wa Taifa haihojiwi. Utaacha kuhoji...
Dr.m Slaa siwezi kumshangaa kwa kauli yake hiyo.
Lakini NAMLAUMU SANA JK KWA "UJINGA" WAKE WA KUDHANI KILA KITU NI KAULI INAYOPITA AU NI UPEPO UNAPEPEA NA UTAPITA.
MARA BAADA YA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2010. DR. SLAA ALIKUWA ANATOA KAULI NYINGI ZA KULETA UCHOCHEZI MOJA YA KAULI HIYO...
Kamanda wa Ufisadi nani? Mpina au Filikunjombe?
Ngoja wewe
Bwana mdogo Filikunjombe anaweweseka na mwaka 2015 kwa sababu anajua hana chake pale kwani Mheshimiwa Pindi Chana kamkalia kooni ndo maana anajifanya kuisema CCM ili baadae akikosa kupitishwa kwenye kura ya maoni kwa kupigwa chini na...
Kwa kweli yote haya ninamlaumu jk kwa kuwa mkimya sana kwa sababu hawezi kuchukua hatua watu kama hawa.
Alichotakiwa ni kuwakamata watu kama hawa na kuwaweka ndani kwa muda usiojulikana
Hilo ndilo tatizo kuuubwaaa sana.
Baregu alipendekezwa na CHADEMA kuwa mmoja wa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Hakwenda wala hakuteuliwa ili aweze kuwa msemaji wa CDM kwenye Tume au hakuteuliwa ili aweze kuipa taarifa CDM kwa kila kinachoendelea pale TUME. na kama angetoa taarifa...
Jamani wanabidii hebu tuwe Great Thinker kweli.
Jana Afisa wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni alihojiwa na chombo kimoja cha habari akasema ni kweli wamepata taarifa kuwa Maafisa wa Jukwaa la Katiba wametishiwa maisha kwa kutekwa.
Kamanda huyo wa Upelelezi wa Mkoa wa Kipolisi wa...
Sugu a.k.a mbwa alisema juzi kuwa Serikali Pumbavu mlikaa kimya sasa leo anaambiwa CCM haisemi na Mbwa inasema na mwenye Mbwa amnaona ajabu?
Vipi Mkuki kwa Nguruwe eti?
Kaeni kimya
LAKINI nawaambia sasa NGO ya Mzee Mtei [CHADEMA] inakufa na pesa za kila mwezi zitakauka.
Kuna tatizo kubwa.
Vyama vya Siasa kwa ujumla wake vinatumia Ujinga wa Tanzania kusema mambo ambayo ni ya Hovyo hovyo. Nitandika kuhusu Mabaraza ya Katiba na utendaji wake wa kazi kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba sura ya 83 ya 2012 kisha mlinganisha ni hicho alichokisema Mhe. Mbowe...
Mchungaji Mzee wa Upako Antony Lusekelo anasema
Nanukuu:
"MAAMUZI YA MTU ALIYEKA TAMAA NI MAAMUZI HATARI SANA KWAKE, KWA FAMILIA YAKE, TAIFA LAKE NA ULIMWENGU KWA UJUMLA"
Ni kweli
Ukiona mtu amechukua waya au kamba anajitundika ujue amekata tamaa
Ukiona mtu anachukua Bunduki na kuanza...
Mara nyingi huwa sipendi kuandika huwa napenda sana kuwa msomaji na msikilizaji. Lakini leo ngoja niandike kidogo.
Kwa mtazamo wangu, narudia kwa mtazamo wangu mtu yeyote mwenye udhaifu katika kitu chochote huwa anatumia mbinu nyingi sana za kujenga woga kwa wanaomzunguka au anaowaongoza ili...
hao ndo chadema mabingwa wa matusi sasa hapo maana yake nini? Chama cha chadema kinaongoza kwa matusi ni chama kinachoongoza kwa kutotaka kukosolewa wala kuambiwa tatizo lao ni chama ambacho kwa kweli kimejaa wajinga wengi wanaohitaji kuelimiswa [ujinga siyo tusi hapa mfahamu maana wengi mtaanza...
Haya yote kayafikisha yeye hapa kutoafanya maamuzi na kusikiza majungu tu na kutoachukua hatua.
Kila Kitu Pinda nenda.
Lakini pia si mnazijua "SHOKABZOBA" kazi yake ni nini? enhee. ni kufanya aliyekaa kwenye Gari kupata starehe na asiumie wakati Gari linatembea.
Lakini Gari likijaa kupita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.