Hamna uhuni Mkuu....nakuambia kwa uhakika wa 100% waliopata kazi TPA ni wale wale waliokuepo kwenye oral.
Kapikwe nyungu Mkuu inaweza kua tatizo ni nyota au kuna mtu kakujambia!
Kwa kawaida mnapigiwa simu na kuitwa kazini ndo ishu za majina zinafata....
Ila amini maneno yangu waliopigiwa simu na kuitwa TPA ni wale wale waliokua kwenye oral...
Yani Utumishi walivomaliza kazi yao wakawapa majina TPA na TPA ndo wanaamua kuwaita lini na wapi!
Sasa utawalaumuje TPA hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.