Kwanza karibu kwenye mkeka!
swali lako zuri sana,dawa ipo na imepatikana ila nadhani sio kwa ambao madhara yameshaanza kujitokeza!!
kumbuka tu,kila ugonjwa una dawa yake ila watu wanaendelea kufa!
Jamaani,
Hivi slaa anao ulinzi wa kutosha jamaani maana hao mavuvuzela wa CCM kupotezana washazoea,watamtafuta kwa ndumba wakishindwa watamtungua kwasababu wameshaogopa na wanajua mimi na wewe na watanzania wote tumechoka CCM!
Dr.Slaa ni msomi.
Dr.Kikwete hata hafananii wala hilo jina na DR...
Duh,
Rip Caroline, wandugu watanzania wenzangu mliopo marekani au nje ya marekani - Hay kwa wenzetu wamarekani si mageni,mtu awezamua mkewe hata miaka saba baadae ndo ikajulikana au mtoto wake miaka kadhaa ndo ikjulikana na hii yote ni kwasababu ya lifestyle ya wenzetu!!
Tujipe moyo kwamba hili...
Jamaani,leteni habari - Bunge limepitisha hii itifaki yao!!????
Eeh, jamaani watanzania huruma inaniingia sana sijui watoto wetu tutawajibu nini hili likipita!!!!!
Nakumbuka tume ya makame kuhusu hili jambo la EAC hapa zanzibar sisi vijana wote tulikataa kwamba bado hatujawa tayari inakuaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.