Shida ya marekani ni kuhakikisha Nchi ndogondogo haziendelei ili aendelee kuwa mbabe anachokifanya ni kuanzisha machafuko kila kona ya dunia.
Kwa mfano marekani ilihusika kwenye mapinduzi ya kijeshi yaliyoshindwa uturuki baada ya rais wa uturuki kuiomba msamaha urusi kila anachokifanya anataka...
Kwanini kila siku richmond wakati kuna watu wameiba mpaka mnyama anayetembea lakini hatuoni wakishambuliwa?
Lowassa kaza buti hizo ni siasa za maji taka watu wamepiga noti mpaka kwemye bvr hatusemi.
Lowassa ingia ikulu urekebishe nchi yetu inayonuka rushwa na ofisi za serikali zimekuwa...
Lowassa ndiye kiongozi pekee ccm anayejiamini akifuatiwa na kinana hao wengine ni vibaraka wa watu wengine wanataka wawekwe kwa mgongo wa baba wa taifa wengine sera yao ni ufisadi hivi mtu mwenye njaa unapomwambia sera yako ni ufisadi itamsaidia nini? Mm nadhani huu ni wakati wa kutafakari kwa...
Kweli wewe ni profesa kilaza kama umezaliwa maskini wewe huna kitu na baba hana kitu ni kumwomba mungu akusaidie ufanikiwe na sio kumwonea mtu wivu kuna watu wengi wenye pesa nyingi nchi hii ni mafisadi????????? Ndesamburo,mbowe,reginald mengi,manjin rostam na wengine ni wezi???????????? Na pia...
Jamani huyu pinda ni nani? Hafai kabisa ni mwoga na king'ang'anizi wa madaraka ana kashfa kibao zimetokea akiwepo bila kufanya chochote escro, operation tokomeza ujangili, wanyama kusafirishwa nje wakiwa hai sasa utaniambia nini kuhusu pinda nikuelewe? Jiji linaingia panya road waziri mkuu...
Jamani kiukweli mm sio ccm ila kiutendaji lowassa ni bora kuliko wote ndani ya hiyo ccm anafuatiwa na magufuli wengine sifuri hakuna kitu lamda upinzani
Sijawahi kuona kiazi kama wewe na sidhani kama wewe ni mtanzania huwezi mdharau lowassa kiasi hicho kwa sababu kuna mema kafanya pia mm nilidhani utatuorodheshea na mema aliyoyafanya. Mm binafsi ni msomi mzuri wa chuo kikuu cha dar es salaam napinga vikali siasa za kuchafuana ambazo hazina faida...
Mm sina shaka na lowassa hata kidogo japo mm ni mpinzani lakini lawassa ni jembe sana CCM hakuna mwenye uwezo wake hata robo! Ukimya wake ni ishara nzito sana kwa taifa kwa sababu uwizi upo taasisi kubwa sana nadhani anaomba mungu muda ufike afanye yake nchi inanuka! CCM mti wenye matunda ndio...
Mm sina shaka na lowassa hata kidogo japo mm ni mpinzani lakini lawassa ni jembe sana CCM hakuna mwenye uwezo wake hata robo! Ukimya wake ni ishara nzito sana kwa taifa kwa sababu uwizi upo taasisi kubwa sana nadhani anaomba mungu muda ufike afanye yake nchi inanuka! CCM mti wenye matunda ndio...
Upo sahihi ila mm binafsi namwomba mzee warioba awe makini sana na vifaa vitakavyotumika kumuhoji asimwamini mtu yeyote na yeye binafsi aamini kuwa ni adui namba moja wa CCM akiyatimiza haya atasalimika! Narudia tena awe makini sana na CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.