Kosa halihalishi kosa. Suluhisho la kosa la kuto kutii sheria kwa hiari si kuua. Na kama hicho kitendo cha kuua ni halali kwa nini huyu askari wa cheo cha chini kafikishwa mahakamani?
Mimi ninachojua ni kwamba serikali imefungua kesi mahakamani, kesi hiyo bado haijasikilizwa. Sasa kuwafukuza kazi madaktari kabla ya kesi kusikilizwa huko si kuinglia mahakama? Wataalam wa sheria nisaidieni
Mimi ninachojua ni kwamba serikali imefungua kesi mahakamani, kesi hiyo bado haijasikilizwa. Sasa kuwafukuza kazi madaktari kabla ya kesi kusikilizwa huko si kuinglia mahakama? Wataalam wa sheria nisaidieni
Kauli ya wiki hii ya ASP Mungulu aliyotoa wakati akimtaka Mhe. Nassari (Mb) ajisalimishe mwenyewe polisi inaashiria nini? Nanukuu "Kama Nassari hatajisalimisha mwenyewe sisi tutamzalilisha" (ASP Mungulu)
Polisi pia wamedhihirisha kuwa wanawanwanyanyasa wapinzani. Kauli ya Bw. Mngulu ni ushahiddi tosha. Mungulu alisema bila ya kutafuna maneno kuwa kama MHE. NASSARI hatajisalimisha mwenyewe jeshi lake litamzalilisha. Je kauli hii ina maana gani!!!!!!!!!!!!!!!
Je uchafu wa Dr. Slaa ndio unaohalalisha ujambazi, uporaji na wizi ya mali ya umma unaofanywa na Wassira na wenzake wa CCM? Kwa maoni yangu hii si justification ya vandalism ya CCM. CCM na serikali yake ndiyo yenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama wa nchi na mali za watu, sasa kama wenyewe...
Yah I can testfy
1 Tanzania isthe worlds third largest recipient of bilateral and multilateral assistance.Only Iraq and Afghanistanare receiving more aid
2 At least 38% of children under five in Tanzaniaare chronically malnourished
3 More than 50% of children suffer stunted growth in over30%...
Hebu soma ukweli huu hapa chini kabla ya kuendela na haya madai yako
Tanzanias persistent economic poverty belies its potential wealth. The country[1] has long dwelled in peace, generally avoiding the cross-border conflict and domestic unrest that has undercut several of its neighbors. Its...
Hatujawahi kuwa na serikali nyingine tangu Tanganyika ipate uhuru zaidi ya serikali ya ccm, serikali hii ndiyo iliyoua uchumi na ndiyo iliyotufikisha nafasi ya 116 mwaka jana katika rushwa. Na usisahau kuwa sasa hivi tumeipiku Kenya kwa rushwa ambayo ilikuwa ikiongoza kwa muda mrefu katika enei...
ni kawaida taasisi nyingi za kimataifa kiisifia Tz kuwa inafanya vizuri katika mambo mbalimbali ikiwemo elimu uchumi nk, wakati watanganyika tunaona kila kitu kinarudi nyuma licha ya kuwa nafasi ya tatu ya omba omba wa kimataifa. Nchi ambayo inakopa fedha kutoka kwenye mabenk ya kibiashara kwa...
Ndio maana hata rais ambaye ndioye mwenyekiti wa ccm hajui kwa nini nchi ni masikini, wala hana uwezo wa kuifanya mvua inyeshe. Katika mweleko huo dhana ya urais wa kifalme utaeleweka kweli na hao magamba na ukizingatia wanafikiria kwa masaburi
Huyu jamaa ni gamba bab kubwa. Si unajua tena hao ndugu zetu akina nshomile waliokuwa wametukuka kwa kitabu siku hizi wamefulia baada ya kujipambanua na CCM, Mkoa wa Kagera ulikuwa unapiga hatua kubwa ya maendekeo na hakutaka kuburuzwa na ccm mfano mzuri kuna mchumi mmoja (Prof. Rweyemamu) enzi...
Nakuunga mkono, udogo wa nchi si hoja. Nilitembelea EU kule Brussels, kulikuwa na hoja kuwa Ujerumani kwa vile ni taifa kuba na inachangia zaidi ya mataifa mengine lazima iwe na wabunge wengi kwenye bunge la EU.
Hoja hiyo haikupita kwa vile kigezo cha kuwa na wabunge ni nchi/taifa si ukubwa wa...
Usinichekeshe. Kutojua katiba haina maana kuwa hawaihitaji. Mimi wazazi wangu walinipeleka shule nikasoma fizikia somo ambalo wao hawalijui. Ingekuwa kwamba lazima wajue fizikia ILI WANIPELEKE SHULE BILA SHAKA wasingenipeleka shule. Ili mie niweze kuifahamu hiyo fizikia kuna mwalimu, hali...
Bila shaka wanavuna walichopanda. Sasa hivi wahadhiri wengi wakiwemo maprofu wamejtumbukiza kwenye chama cha magamba ambacho hufikiria kwa masaburi na kina historia ya kusema uwongo, ufisadi, unafiki wizi wa kura n.k. Katika hali kama hiyo unatarajia nini. Kama wasomi haou wanaingia kwa mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.