Search results

  1. boma2000

    Hayati Magufuli hakuwa Dikteta

    Alikuwa na maono ya Tanzania kwa miaka 50 - 100 ijayo kwa maslahi mapana ya Taifa. Si kama wanasiasa wengine na wanajamii ambao maono yao huwa Mwaka moja mpaka mitatu ikizidi hapo ni miaka 5. Ndiyo maana vikundi hivyo na watu hao WALIO wengi lakini upeo mdogo sababu ya maslahi binafsi na...
  2. boma2000

    Mrembo Huyu Kwanini Anakula Mirungi

    Mrembo huyu bado anawika na kajipatia kama umaarufu kapya si wa zamani 😁
  3. boma2000

    Jenerali Ulimwengu afunguka kuhusu Rais Mkapa

    Ulimwengu alikuwa matatizo yake binafsi sasa anataka kuyafanya ni ya kitaifa. Aache fitina, unafiki na upuuzi usiyo na maana. Huyu Ulimwengu ni mtu wa kuchochea mambo na mpenda kuona Tanzania imegawanyika na iwe kwenye vurugu kama walikotoke wazazi wake.
  4. boma2000

    Tetesi: Mhe. Lissu kukamatwa airport pindi atapowasili

    Kukamatwa ni haki yake Sheria haziangalii sura wala ukibaraka wa Wazungu. Hivyo akikamatwa ni sawa apambane na hali yake.
  5. boma2000

    Uchaguzi 2020 Mashabiki wengi wa Tundu Lissu ni wa mitandaoni hawako kamati kuu wala mkutano mkuu wa CHADEMA

    Umesema Ukweli. Kuna watu akili zao zina waaminisha watu eti kale kakikundi ka mtandaoni ndiyo wapiga kura 30m. Au fikra za kikoloni zimewaingia kwa vile kuna wakoloni wamemjaza upepo Tundu kuja kugombea basi wanaona ataweza kupata kura. Waache watu hao wabaki na FIKRA zao za kikoloni maana...
  6. boma2000

    Hawa watu sasa wamekubali kuwa Corona imeisha?

    Kumbe ameombwa na Zitto na Sharif agombee Urais siyo mahaba yake. Chama mufilisi
  7. boma2000

    Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

    Kwa hizo kura na mgawanyo wake inabidi wakuwaishe Hospitali ya Mirembe
  8. boma2000

    Anguko la Rais Magufuli litakuwa na mshindo mkubwa sana

    Wanaosubiri aanguke watasubiri sana mpaka wataanguk wafe. Kwa maana hao wanaosubiri hilo anguko wako kama yule Fisi aliyekuwa anamfuata binadamu nyuma nyuma akisubiri mkono wa binadamu uanguke
  9. boma2000

    Halima Mdee na Esther Bulaya watakiwa kujieleza kwanini walienda Afrika ya Kusini bila kibali cha Mahakama

    Kila mtu anavuna alichopanda kwa wakati wake unapowadia
  10. boma2000

    Mchungaji Daniel Mgogo usikengeuke , Jikite kwenye Mahubiri usikubali kutumiwa na CCM

    Unamwonea huyu Mchungaji, mara nyingi huwa naona kina Bagonza na wenzake Mapadre na Maaskofu wenye kuishambulia Serikali na CCM huwa wanashangiliwa sana. Hivi wao wapochanganya siasa na dini ni RUKSA sababu wanachadem lakini huyu kusifia serikali ni kosa😳
  11. boma2000

    Uchambuzi wa Zitto kuhusu Barrick Gold unapotosha

    Umetoa ufafanuzi mzuri sana. Zitto kazi yake kubwa SIKU ZOTE ni kupotosha watu.
  12. boma2000

    Lowassa, Zitto, Maalim Seif na Fatuma Karume wakutana Zanzibar

    Lowassa anatakiwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema haraka iwezekanavyo
  13. boma2000

    Sauti yangu kwenu Makamanda Freeman Mbowe na Esther Matiko

    Sikufahamu kama ni vita, nilijua ni majadiliano ya hoja kwa hoja na sikujua kama matusi ni silaha katika kujenga hoja. Sisi wote ni Watanzania nafikiri hamna haja ya kutukanana. Yaweza tokea siku ukakuta mwenye hiyo ID ni mtu mnafahamiana vizuri, kwenye nafasi utajisikiaje?
  14. boma2000

    Sauti yangu kwenu Makamanda Freeman Mbowe na Esther Matiko

    matusi ya nini? jibishaneni kwa hoja. Matusi huwa ni ishara mbaya.
  15. boma2000

    Watumishi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA) kortini tuhuma uhujumu uchumi

    habari haina details wala majina, imekosa maana halisi ya kutuhabarisha
  16. boma2000

    Mwita Waitara: Ntaipasua CHADEMA vipande vipande wakiendelea kunifuatilia

    Siasa zina raha yake na uchungu wake
  17. boma2000

    Kwa yanayotokea Kenya lilikuwa kosa la kiufundi CHADEMA kumuunga mkono Kenyatta

    acha uongo, Uhuru Kenyatta yuko poa. kwani mpaka sasa kafanya kibaya gani? tatizo la uchaguzi halikuwa la Uhuru bali tume huru ya uchaguzi
  18. boma2000

    CHADEMA hebu mtueleze hii 'Critical but stable' inamaanisha nini au ni lugha ya upigaji?

    Asante nimeelewa kumbe wewe ni Jilimbukeni kuuubwa
Back
Top Bottom