Alikuwa na maono ya Tanzania kwa miaka 50 - 100 ijayo kwa maslahi mapana
ya Taifa. Si kama wanasiasa wengine na wanajamii ambao maono yao huwa Mwaka moja mpaka mitatu ikizidi hapo ni miaka 5.
Ndiyo maana vikundi hivyo na watu hao WALIO wengi lakini upeo mdogo sababu ya maslahi binafsi na...
Ulimwengu alikuwa matatizo yake binafsi sasa anataka kuyafanya ni ya kitaifa. Aache fitina, unafiki na upuuzi usiyo na maana.
Huyu Ulimwengu ni mtu wa kuchochea mambo na mpenda kuona Tanzania imegawanyika na iwe kwenye vurugu kama walikotoke wazazi wake.
Umesema Ukweli. Kuna watu akili zao zina waaminisha watu eti kale kakikundi ka mtandaoni ndiyo wapiga kura 30m.
Au fikra za kikoloni zimewaingia kwa vile kuna wakoloni wamemjaza upepo Tundu kuja kugombea basi wanaona ataweza kupata kura. Waache watu hao wabaki na FIKRA zao za kikoloni maana...
Wanaosubiri aanguke watasubiri sana mpaka wataanguk wafe.
Kwa maana hao wanaosubiri hilo anguko wako kama yule Fisi aliyekuwa anamfuata binadamu nyuma nyuma akisubiri mkono wa binadamu uanguke
Unamwonea huyu Mchungaji, mara nyingi huwa naona kina Bagonza na wenzake Mapadre na Maaskofu wenye kuishambulia Serikali na CCM huwa wanashangiliwa sana.
Hivi wao wapochanganya siasa na dini ni RUKSA sababu wanachadem lakini huyu kusifia serikali ni kosa😳
Sikufahamu kama ni vita, nilijua ni majadiliano ya hoja kwa hoja na sikujua kama matusi ni silaha katika kujenga hoja.
Sisi wote ni Watanzania nafikiri hamna haja ya kutukanana. Yaweza tokea siku ukakuta mwenye hiyo ID ni mtu mnafahamiana vizuri, kwenye nafasi utajisikiaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.