Uko kujitetea kwa Mwigulu kuna jambo limejificha na serikali yake inajua ilichokifanya kwa Ben,
Kama namba za simu iliyotoa vitisho dhidi ya Ben,kwa nini polisi isianzie uchunguzi kwa mwenye hiyo namba kama ni mkweli?
Mwigulu ni mtaalamu wa mambo haya,tujikumbushe yaliyotokea soweto Arusha.
Maswali mengine ni ya kitoto na ujinga mtupu, wewe haujui kila kitu na wakati wake, mbona haujiulizi kwa nini haukuzaliwa miaka ya 50, au kwa nni Magufuli hakugombea urais mwaka 1995
Sijawahi serikali ya kioga kama hii,kama unafanya mambo mema kwa nini unaogopa kuhojiwa?heko baraza la madiwani jiji la Arusha.nyie ndiyo wanaume wa shoka bhana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.