Nadhani ungetueleza ukweli wa zile tuhuma tungekuelewa lakini hapa unaonekana unatuomba tukuonee huruma na mwisho tukuogoe.
Upo ktk utumishi wa umma tueleze kwa jinsi gani zile tuhuma sio kweli. Tuna haki ya kujua ukweli na sio huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia mikutaniko ya hadhara kupeana taarifa imezuiwa. Na ile iliyoruhusiwa wanapangiwa cha kuongea ili serikali isieleweke vibaya kwa wasikilizaji.
Najiuliza hivi hii mikutaniko ingekuwa ruksa
Wasemaji wakuu wasingepangiwa cha kusema, tungesikia mangapi?
Haya machache yanasumbua kiasi...
Huwa sielewi sometimes unakuwa kama msomi, mwelewa ila sometimes unakuwa kama unajipendekeza, tena sometimes unakuwa kama mwehu.
Sasa hiki unaandika huku ukijua hakiwezekani kiKatiba, nikuweke kundi gani kati hayo hapo juu?
Iwapo wanajeshi wanapewa ukuu Wa Wilaya na Mikoa, iwapo mwanajeshi anaongiza idara nyeti ya CCM.
Iwapo naibu mwanasheria mkuu Wa serikali anateuliwa kuwa mbunge kwa tiketi ya CCM
Iwapo naibu mwanasheria mkuu toka mhimili uliojichimbua chini zaidi ya yote anakwenda kuongoza mhimili Wa bunge la...
Kabla hatujamaliza kuhamia Dodoma na kulipa stahiki zote za uhamisho watumishi tunataka kustaafisha wafanyakazi na kuwalipa stahiki zao zote. Kisha tunaunda shirika jipya. Kwa nini tusibadili jina na kufanya kazi kwa taaluma zao? Hao walifanya zero kwa ajili ya uongozi. Badili uongozi, weka sera...
Hebu sheria tuweke kando, acha majaji na mahakimu nao wapumzike. Kesi zimekuwa nyingi sana. Hivi mtu akihukumiwa kabla ya kukamatwa na kesi haijafunguliwa hapo inakuwaje? Mie sielewi kama niko Tz nchi inayosifika kwa utawala bora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.