Wewe jamaa unaonekana hata shule ulipita kwa msaada wa mungai, 'key word' hapa ni kifo cha mzee Dude ww unauliza futuhi na maana yake, kama unaona kifo cha huyo mzee hakijakugusa kaa kimya kuliko kuweka utumbo hapa.
Inaweza kuwa sawa tu Maana nchi yetu haina mtaala wa elimu unaoeleweka, usije ukashangaa wanafunzi wa yombo buza wakatumia mtaala wa jamaica na wanafunzi wa tegeta wakatumia mtaala wa kawambwa na wanafunzi wa sikonge mtaala wa nyerere na wanafunzi wa tandahimba wakatumia mtaala wa mungai, this...
Hahahaaaaa! Kwikwiiiiii! Huhuhuuuu! Huyu jamaa aliye weka hii post nadhani ni mganga wa kienyeji kama mchawi, yaan huu ni wakati wa kulilia kubaki ccm badala ya kumshukuru mungu kwa kumwondoa kwenye dimbwi la majanga. Ccm hatariiiii, weka mbali na watoto.
Kwani hujui kama mwigulu alikuwa mfanyakazi wa BOT kabla ya ubunge? Kwani hujui kama mwigulu ni miongoni mwa wana mtandao wa EPA? Kwani hujui kama mwigulu ni miongoni mwa watu waliofanikisha hela kutoka BOT kwenda meremeta co? Ndo maana nachelea kusema tena kuwa mwigulu kaenda wizara ya fedha...
Jk ni mdhaifu sana hawezi kusukuma hiyo mizigo iondoke.
Kinana ni jangili, nayeye ni mzigo.
Nape nayeye ni gamba lisilo na mwili halisi ndani ccm yy ni CCJ.
Zzk ni kama shetani ktk himaya ya mbinguni au Yuda ktk kundi la Yesu.
Lazima ang'atuliwe tuuu!
Kwenda mahakamani ni kama kuwekewa mitungi ya gesi ili asife haraka wakati akijua kuwa kifo kiko palepale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.