Dr. Paurine pokea heshima yako mkuu. Mmmh! ila umetumia dozi kubwa sana kumnyamazisha ndugu. Lukosi kiasi naona hata maisha yake ya kawaida yameguswa. Nadhani atakuwa amepatwa na msongo mkubwa sana. Wakati mwingine jaribu kushusha kiwango cha fikra kwani unazungumza katika abstract level kitu...
Mkuu Sambali nashukuru sana. Sasa tunahitaji nguvu zaidi kwani hapa Mkolye akina Sambali mko wengi sana. Nadhani hata huko KILOLELI wapo pia. Hivyo hamasisha jamaa zako walioko KILOLELI kwani kura zao ni muhimu sana katika kuhakikisha ushindi. Makamanda karibuni sana Mkolye kama ni matunda...
Asante Mkuu Osaka. Japo Mpombwe si jirani na Mkolye, nitajitahidi kufikisha salamu na kuunganisha nguvu kwa ajili kwa ajili ya vita hii ya kuyeyusha fikra mgando kwa wakazi wa Sikonge. Karibuni Makamanda wote kwani huku Sikonge tunawahitaji sana.
Mkuu Sikonge karibu sana Mkolye. JIWE la kuteleza 'isyenentelo' bado lipo kwani ni Landmark muhimu sana hapa kijijini. Na kwa taarifa tu, hilo JIWE ndiyo maana halisi ya ID yangu "Jiwe". Karibuni wote tuteleze kwenye JIWE huku tukiendelea kutafakari harakati za ukombozi wa fikra kwa watanzania.
Asante mkuu Malata tuko pamoja na tunaendelea kutoa hamasa hapa Mkolye. Ndiyo maana tunatamani Makamanda wafike kutoa hamasa zaidi. Hii ndiyo twanga kote kote!
Usiogope Mungu yupo pamoja nawe, afya yako ni chachu katika kuboresha sekta ya afya nchini.
Umerejea muda muafaka, sasa hebu nawe "futurisha" na uweke wazi ukweli ili Watanzania wapate kuwa huru.
So long Dr. Ulimboka!
Kauli ya CHADEMA: Pipoooooooz!! Pawaaaaaa!!! Au "Nguvu ya umma". Huu muziki hata CCM wenyewe wanauimba bila kutaka. Upo hapo? Yaani CHADEMA wanakubalika kwa kauli zenye mvuto kwa jamii!
Mytake: Mbona sijamsikia akituma Salamu za Rambirambi za Tarime?
Usihofu subiri kesho utasikia kwenye hotuba yake ya mwisho wa mwezi. Naona hii ndiyo pointi kuu pekee imeachwa makusudi itumike kwa ajili ya kulaani UPINZANI na kuwaasa WANANCHI kuzingatia sheria. Just stay tuned!!!
Ha haa haa..!! yaani linakumbusha dogo mmoja pale alipoachia 'kubwa'. Basi ile yule jamaa kupiga ile tairi teke, dogo nae akuvuta pumzi kali na kuachia 'kubwa'. Basi namiye naripendaga pendaga hiro ritangazo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.