Mbona mwarabu bado anauza weusi kama watumwa kaulize wadada wa kazi Uarabuni wanatupwa kutoka gorofani , kama hii dunia ni ya kila mtu mbona mnataka kufuta wayahudi palestina mnaitumia kama Chambo
Mimi nilizani Bibilia ndio imekubaliana na USHOGA kumbe ni kanisa !! SHIA awakubaliani na SUNNI kwenye mapigano ya JIHAD lakini Dunia ikiwaona Wote wanaitwa MAGAIDI [emoji23][emoji23]iko hivyo
Makanisa yapo mengi sana ya MPAPASO kwenye UKRISTO mtu anaweza akanzisha imani yake na akafundisha atakavyo , mwisho wasiku hukumu ipo mikononi mwa MUNGU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.