Captain Lazaro pia yuko kwenye Aviation Industry tangu defunct East African Airways. Kwahiyo si mgeni kwenye aviation industry! Ninaamini anao uwezo mkubwa tu.
JF,
Kama ulifuatilia kulikuwa na habari kwenye magaze wiki iliyopita, yakidai kuwa "wafanyakazi wa Air Tanzania" hawaitaki Menejimenti na wameishauri Serikali iondoe menejimenti haraka!
Wasijue kuwa hawana wadhifa wa kuiamuru Serikali wala hawajui mipango ya Serikali juhudi zao ziligonga mwamba...
Ukiwa na wabunge wanao behave kama watoto wa chekechea unatakiwa uwa handle vipi? She was right and firm - Tukubali kukosolewa kila taaluma ina sheria na misingi yake, Spika ndani ya Bunge ni Mmoja tu!:A S angry:
Mtiririko wa malalamiko yako ndugu ni wa nyati aliyejeruhiwa, Tumezikamata nyeti ulifukuzwa kazi kwa wizi wa tiketi na vyeti vya elimu feki, sasa una hasira na Menejimenti ya ATCL ile mbaya, pole eeh rudi shule acha uzushi!
No wonder the mobile phone companies are able to have so many promotions and offer many give aways! They feel guilty after reaping off poor Tanzanians. the Government should step in and rescue this hopeless situation!
Uzembe ni pale ambapo rubani anapewa tahadhari na waongoza ndege, anadharau na kuleta maafa.! Rubani kabla ya kutua hawezi kujua "runway" ni salama au la, bali anategemea ushauri wa waongoza ndege "control tower" Shakazulu usiwe mwepesi wa kutoa lawama!
Ukiisoma tu "hadithi hii" unajua mtuzi wake ni "abunuasi" aliyetimuliwa ATCL kwa hiyo anajitahidi kupaka Menejimenti na JK matope, Story haina kichwa wala miguu, na jinsi Abunuasi huyu alivyojaribu bila mafanikio kumburuza JK kwenye hadithi yake isiyo na mvuto. JF watoa shutuma kama hawa...
Naunga mkono mia kwa mia wazo hili, ukitilia maanani jinsi walivyo jitahidi na kunusuru maisha ya abiria wote! Nina imani rubani awapo angani, hana macho wala masikio, macho yake na masikio ni ushauri kutoka "control tower" iwapo watamwambia uwanja ni salama basi rubani hana budi kufuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.