Hello,
Tumefanya marekebisho yote tukizingatia kila maoni ya kila mtu.
Naamini sasa tunaeleweka zaidi.
Bado tunapokea maoni maana ili tuendelee tunahitaji watu.
Ahsanteni Sana.
Tuliumizwa sana na enzi za 'zidumu fikra za nanihii' nashukuru sana kuwa sasa WaTZ tunachanganua mambo. Safi sana.
Msisitizo wangu nauongeza katika kutenganisha 'usajili jina', 'hosting' na website designing. Na nimependa kila mtu ameona kwa namna yake, nasi tuliona kwa namna yetu. Ni wakati...
Sitaki kuwa mbishi ila najua projekti yoyote ya website unapoizungumzia unaongelea kuitengeneza (gari) na kuiweka hewani (mafuta), mtu yeyote anayefanya kazi ya kutengeneza huwa si jukumu lake kuiweka hewani, ndio maana tunasema TUNAKUPA TOVUTI BURE, then hizo hosting fees na domain fees huwa...
....tumeandika ghrama zozote unazoweza kukumbana nazo na mbona ipo wazi kuwa ili uwe na tovuti hatua tatu zinahitajika:
Domain Registration (usajili jina)
Kuitengeneza Tovuti Yenyewe, (the designed pages)
Kulipia ada za kuwa hewani (Hosting)
Kuiupload website na kuhakikisha ipo sawia kila mara...
Hello Wanajamii,
Kama wewe upo Tanzania, sasa unaweza kupata tovuti BURE kabisa, tena tovuti ya kisasa kabisa (professional and static) itayotengenezwa kwa kujali misingi yote ya taaluma hii. Tovuti hiyo haitakuwa na Matangazo yoyote kutoka kwetu, na ukipewa inakuwa mali yako uamue kufanya nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.