Wiseboy, hiyo laki tatu nusu waweza kuipata kila 2 weeks kama utaweza kuweka mzunguko mzuri wa ufugaji. mfano wako hapo juu kuku 1000 nitapata faida katika ya laki8-1m nikifuata kanuni bora za ufugaji. hapo bado kuna vi faida vidogo kama kuuza mbolea.
niko mkoani huku hiyo ndiyo bei general na kuku tunauza between 5-6 weeks. kwa Dar nimeona bei ni 5000 kutokana na kuwa mnawauza at 4-5weeks so hata chakula hakitumiki kingi kama anayefuga mikoani.
Nafikiri pia mchanganuo wako hauko sawa kwanini uwauze at 8 weeks? sijafanikiwakufuga wengi hivyo ila nami nawafuga. 400 wanakula mifuko 24 mpaka nimalize kuuza. Bei ya kununua ni 400*1400 = 560,000 chakula 24*50,000= 1,200,000. matumizi mengine maji umeme kijana dawa( glucose+ booster) total...
Habari wanajf, ninaomba ushauri wenu kuhusu gari hii, nimeipenda lakini ningependa kujua ubora, utumiaji mafuta na upatikanaji wa spare kwa gari hii. Naomba mwenye uzoefu nayo atoe ushauri.
wakwangu wamepishana hivyo sikupanga but niliamua kubeba msalaba wangu, clinic nilishauriwa niendelee kum,nyonyesha mdogo lakini kama ataonyesha kuharisha nimwachishe. bahati nzuri haikumuathiri, nilihakikisha yule mkubwa anapata lishe kamili na kwakweli both wamekua vizuri they are my big girls...
Habari wanaJF,
ninaomba msaada wenu. Mimi ni mwanamke aged 37, kawaida katika mzunguko wangu wa hedhi huwa napatwa na maumivu makali sana hasa day1 na 2. sasa naona tatizo limeongezeka maana ikishapita wiki moja baada ya hedhi ninapatwa na maumivu makali sana ambayo yanaweza kudumu kwa siku...
Wengine sio chemicals my dear ni maumbile tu. nina stretch marks since 12yrs wakati huo sijui hata mafuta mengine zaidi ya vaseline. nimezizoea sasa kama part ya maisha mwili wangu ambayo siwezi change!
Tupo wengi tunaothamini mchango wa DR. RIWA, yani nikikuta swali huku huwa nafuatilia kujua dr riwa amejibu nn! Mungu akutie nguvu uendelee kutusaidia katika matatizo ya kiafya, tunajifunza mengi kupitia michango yako.
Jamani hizi mila za wapi tena? unamchoma mtu maziwa na chuma cha moto? yakishachomwa yanatoweka hapo au inakuwaje? mwanamke wa kiafrica ana mateso mengi sana.
Jipe muda wa kusamehe ijapokuwa ni ngumu kusahau. kumwacha si solution maana hujui utakaekutana nae atakutenda mangapi mabaya zaidi. Hata mi nilipita stage hiyo na sasa nimejifunza kupenda tena kikawaida tu na si kama ilivyokuwa mwanzo na maisha yanakwenda that all na watoto ni faraja tosha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.