Search results

  1. G

    Taja "character" uliyemchukia kupita kiasi katika filamu au tamthilia

    Nadhani kuanzia 2 hapo waweza kumpata the general
  2. G

    Taja "character" uliyemchukia kupita kiasi katika filamu au tamthilia

    General Jonathan krantz prison break
  3. G

    Watalii wapatao 1000 kutoka Ukraine wadaiwa kukwama Zanzibar

    Ndio kusaidia wapita njia huko mungu awabariki
  4. G

    Kepa awalaza Chelsea na viatu

    Laana ya Ukraine hiyo alisikika mlevi mmoja akisema
  5. G

    NBC PL| Mtibwa Sugar 0 - 2 Yanga | Manungu Complex

    Pana utundu wa sure boy pana utundu wa faisal pana ufundi wa aucho pana harakati za tibazonkiza pana kashkash za mayele unaponaje hapo?ukipata sare shukuru. Na bado utatu huo wa fey sure boy na aucho haujakolea ukitulia huo ni ushindi tu.
  6. G

    Maajabu ya Afrika: Picha zinapingana na Uhalisia (DR Congo U16 vs Senegal U16)

    Nyembe za kutosha zimeng'oa visiki kidevuni kisha unambie ana 15 labda ndevu za ukoo. Jambo hili pana waqt hivi under under za Ghana zilitisha katika mashindano ya kombe la dunia la under under lakini ikaja bainika ni vijeba na nadhani walifungiwa kwa muda flan.
  7. G

    Binti wa miaka 17 ajinyonga baada ya kuachika mara tatu kwenye ndoa

    Kapiga hattrick ya ndoa kaondoka na mpira wake
  8. G

    Upandikizaji wa kwanza wa uume wafanywa na Hospitali ya Chuo Kikuu cha Aga Khan

    Eeeh waweza kukosa vyote bible mshukuru muumba kwa kila jambo.
  9. G

    Upandikizaji wa kwanza wa uume wafanywa na Hospitali ya Chuo Kikuu cha Aga Khan

    Huo wivu sasa umepewa kipochi manyoya tumepewa mipini shida ipo wapi?
  10. G

    Upandikizaji wa kwanza wa uume wafanywa na Hospitali ya Chuo Kikuu cha Aga Khan

    Sayansi hii itafika waqt watu watakuwa wana azimana mipini
  11. G

    Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

    Umetiririka vizuri kuwa ukipata kikubwa utafanya makubwa ile isism yenu ya kupokea tu umeiweka kando I salute you
  12. G

    Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

    Jamani mwenzenu kaonyesha njia fuateni huwa najiuliza ile ladies first huwa penye kutoa au kupokea!
  13. G

    Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

    Wachache wenye ujasiri wa kukiri kama wako hongera sana
  14. G

    Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

    Wa kwangu yupo humu humu yaani kashindwa hata kunifungulia uzi sijui anajiamini nini huyu bibie!
  15. G

    TANU na Sanduku la fedha la Abdul Sykes

    Wino siku zote ni kitu cha kuogopa shukran jazzillah
  16. G

    Angola yadai kurejesha zaidi ya Dola Bilioni 11 zilizoibwa Serikalini

    Hakizidi chochote kwa mtu dhwalimu isipokuwa khasara
  17. G

    2021 AFCON Special Thread

    Yaah pana sintofahamu kubwa kuhusu umauti wake pana jirani alisema aliwaona nduguze wakimchukua mkuku mkuku na baada ya siku chache ikatangazwa amefariki. Unapo zungumza natural striker kwa afrika huwezi muondoa ingawa alikuwa na uchoyo flan tizana game ya fainali 1994 dhidi ya Zambia bado...
Back
Top Bottom