Re: Kikwete angekuwa na Ajenda ya Uislamu, ningemuelewa na kukubaliana naye, lakini
Hakika we Umenena, mada hii imejitosheleza. Hakuna Ndoto ya Maisha Bora kwa kila Mtanzania. Kila kukicha twaja na Slogan mpya! Leo Elimu kwanza wakati idadi na kiwango wanachofaulu kinashuka. Kilimo kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.