Nahitaji mwanamke ambaye yupo tayari kuanza safari ya mwisho ya kimahusiano kifo tu ndio kitutenganishe.
Mimi Nina miaka 32
Mjasiriamali
Mkazi wa Dar es salaam.
Mkristo
Mnene kiasi,maji ya kunde +
Mwanamke ninayemhitaji awe kawaida tu mwenye rangi yake ya asili, ambaye anapenda mapenzi
Kabila...
Nahitaji mwanamke ambaye yupo tayari kuanza safari ya mwisho ya kimahusiano kifo tu ndio kitutenganishe.
Mimi Nina miaka 32
Mjasiriamali
Mkazi wa Dar es salaam.
Mkristo
Mnene kiasi,maji ya kunde +
Mwanamke ninayemhitaji awe kawaida tu mwenye rangi yake ya asili, ambaye anapenda mapenzi
Kabila...
Nahitaji mwanamke msichana ambaye yupo tayari kuanza safari ya mwisho ya kimahusiano kifo tu ndio kitutenganishe.
Mimi Nina miaka 32
Mjasiriamali
Mkazi wa Dar es salaam.
Mkristo
Mnene kiasi,maji ya kunde +
Mwanamke ninayemhitaji awe kawaida tu mwenye rangi yake ya asili, ambaye anapenda...
Pole sana kijana haya yote yanatokea kwenye maisha ya kimahusiano mara kwa mara, hivyo nakushauri ukubaliana na matokeo,alafu lisamehe na lisahau bila kujutia lolote.
Sema na moyo wako jiambie wewe ni rijali mtanashati unaejitambua na mapenzi unayajua, no time for regret.
Si ulishawahi kudet na...
Habari zenu,
Nina mpenzi wangu na nampenda sana ila sasa kila tukipishana kidogo tu anasisitiza kuachana naye,yani kitu kidogo tu yeye anasema naomba tuachane.
Hivi njia laisi ya kumdhibiti huyu dada ni ipi? Na kwanini awe anakimbilia kuachana ?
Naombeni msaada hata wa mawazo nimfanyeje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.