Search results

  1. John Kachembeho

    Uchaguzi ukifanyika leo, Dr. Luis Shika akigombea urais, ubunge, udiwani, anaweza kupata? Jicho letu ndani ya habari

    Pascal Mayalla wewe ni mtu wa media, mwandishi wa habari, unalalamika kuwa media haimwulizi dr. Shika maswali serious, unacholaumu hasa ni nini ikiwa wewe mwenyewe ni media na hujafanya hivyo. Zaidi sana unatulazimisha tuuu twende na intuitions zako badala ukachimbe utuletee first hand...
  2. John Kachembeho

    Hakuanza leo kutoheshimu mihimili mingine

    Exactly, a.k.a The Founding fathers
  3. John Kachembeho

    Hakuanza leo kutoheshimu mihimili mingine

    Tujifunze pia kupitia Dubai, imewezaje kuendelea kwa kasi sana katika kipindi kifupi?? Nini nafasi au mchango wa Demokrasia??? Mtazamo wangu mimi, katika nchi maskini na fukara zinahitaji individuals watakaokuwa "Masterminds" wa mchoro mzima wa maendeleo, waweke misingi ikibidi kwa mkono wa...
  4. John Kachembeho

    Hakuanza leo kutoheshimu mihimili mingine

    Kwani unaweza kusoma mkuu??? Ningeweza kukuwekea hapa reference za kusoma ujue ukweli lakini najua huwezi kusoma chochote kinachozidi page moja. Jibu basi swali hili rahisi, Katiba ya Marekani iliandikwa na watu wangapi??
  5. John Kachembeho

    Hakuanza leo kutoheshimu mihimili mingine

    kwanza usitukane wala kutoa lugha za kashifa hapa; Baada ya hapo kafanye homework yako juu ya nchi zifuatazo namna zilivyotoka kwenye umaskini; 1. china 2.korea kusini 3. Japan 4. Singapore Na hizi zinazojitahidi kutoka umaskini sasa; 1.Thailand 2. Rwanda Homework hii ikikushinda...
  6. John Kachembeho

    Hakuanza leo kutoheshimu mihimili mingine

    Umenikumbusha post yangu ya siku za nyuma; Uendeshaji wa TAZARA sasa wakabidhiwa kwa Mchina Watakuwa surprised zaidi wakigundua kuwa hakuna nchi iliyowahi kuhama kutoka umaskini kwenda utajiri kwa kupractice demokrasia tangu kumalizika kwa vita vya pili vya dunia, watashangaa zaidi wakigundua...
  7. John Kachembeho

    Tundu Lissu: Kufukuzwa kwa Mkurugenzi Azimina Mbilinyi, Rais Magufuli na Maono hafifu

    Lakini mbona upinzani umeshinda majimbo mengi tu pasipo chama tawala kufungua kesi au kufukuzwa wakurugenzi? Kwanini iwe kwa huyu mama tu??
  8. John Kachembeho

    Ya kuhamia Dodoma na hoja ya gharama, Upande wa pili

    Wasalaam wakuu; Tangu Rais wa jamhuri atangaze nia ya serikali yote kuhamia dodoma ndani ya miaka minne na miezi minne iliyobaki ya utawala wake, kumekuwa na hoja juu ya gharama za uhamisho huo na ikiwa ni muhimu kuingia gharama hizo wakati huu. Kwa wachambuzi na watoaji taarifa kwa jamii na...
  9. John Kachembeho

    GEITA: Waziri Mwigulu aweka gwaride la utambuzi, amkamata Mchina aliyemtesa Mtanzania

    Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC wanasemaje katika hili?? Nadhani mambo kama haya ndo hasa uwanja wao kuliko kule kwenye siasa!!
  10. John Kachembeho

    Bombardier and Government of Tanzania Sign Purchase Agreement for Two Q400 Turboprops

    Route ya Dodoma -Dar italipa pia kwa kuongezea hizo route ulizotaja.
  11. John Kachembeho

    Bombardier and Government of Tanzania Sign Purchase Agreement for Two Q400 Turboprops

    Q400 inaweza kufanya hivyo zaidi ya ndege kubwa kama A320 series
  12. John Kachembeho

    Ni nini kinachoitafuna Zanzibar ndani ya NECTA? 10 baya la mwisho shule saba?

    Rekodi za miaka 5 iliyopita ziko hapo juu....kisayansi kama unarudia kufanya kitu kilekile miaka yote then huwezi kupata matokeo tofauti. Cha msingi kutafiti ni kitu gani kibadilike kwa shule zinazofanya vibaya ili sasa zifanye vizuri. Hili si jambo la kuweka katika muktadha wa kisiasa...
  13. John Kachembeho

    Ni nini kinachoitafuna Zanzibar ndani ya NECTA? 10 baya la mwisho shule saba?

    Taarifa ya matokeo kidato cha 6 mwaka 2012 “Kwa shule zenye watahiniwa 30 au zaidi, sekondari 10 zilizofanya vizuri zaidi ni Marian (wasichana) ikifuatiwa na Feza (wavulana), Kisimiri, Kibaha, Ilboru, Mzumbe, Msalato, Tabora (wavulana), St. Mary's Mazinde Juu na Consolata Seminari. Sekondari...
  14. John Kachembeho

    Ni nini kinachoitafuna Zanzibar ndani ya NECTA? 10 baya la mwisho shule saba?

    Taarifa ya matokeo kidato cha 6 mwaka 2013 Shule kumi (10) bora katika kundi la shule zenye watahiniwa 30 na zaidi NA JINA LA SHULE IDADI YA WATAHINIWA MKOA 1 MARIAN GIRLS S.S 158 PWANI 2 MZUMBE S.S 125 MOROGORO 3 FEZA BOYS’ S.S 59 DAR ES SALAAM 4 ILBORU S.S 171 ARUSHA 5 KISIMIRI S.S 50 ARUSHA...
  15. John Kachembeho

    Ni nini kinachoitafuna Zanzibar ndani ya NECTA? 10 baya la mwisho shule saba?

    Taarifa ya matokeo kidato cha 6 mwaka 2014 Shule kumi (10) bora Na JINA LA SHULE IDADI YA WATAHINIWA MKOA 1 IGOWOLE S S 30 IRINGA 2 FEZA BOYS’ S S 60 DAR ES SALAAM 3 KISIMIRI S S 52 ARUSHA 4 IWAWA S S 39 NJOMBE 5 KIBAHA S S 167 PWANI 6 MARIAN GIRLS S S 138 PWANI 7 NANGWA S S 97 MANYARA 8 UWATA...
  16. John Kachembeho

    Ni nini kinachoitafuna Zanzibar ndani ya NECTA? 10 baya la mwisho shule saba?

    Taarifa ya matokeo kidato cha 6 mwaka 2015 Pmaoja na hayo Katibu Msonde alizitaja shule 10 bora zilizofanya vizuri, Msonde kuwa ni Feza Boys, Runzewe, Feza Girls, Sumbawanga, Ivumwe, St Marys’ Mazinde Juu, Vwawa, Kisimiri, Namabengo na Scolastica. Kwa upande wa zile shule 10 zilizofanya...
  17. John Kachembeho

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kivule 20m X 40m

    Kiwanja flat 20m X 40m kinauzwa 7m Kipo kivule Dar es salaam
  18. John Kachembeho

    Mhe. Rais, hii ndiyo Julius Nyerere International Airport inavyowatesa wageni na kuwakimbiza

    Sijashuhudia hii kitu ila rafiki yangu mmoja mholanzi aliwahi kuniambia tu anaichukia JNIA kuliko airport nyingine yoyote duniani. Sikutaka kumhoji zaidi kwakuwa nilijua ni ubora wa uwanja wetu, ila kwa thread hii huenda basi hili likawa jambo
  19. John Kachembeho

    Upotoshaji wa Malisa juu ya hali ya kiuchumi nchini wajibiwa kwa umahiri mkubwa

    Shida iko pale pesa inapotumika pasipo kutafutwa kwa kuzalisha....huko US na nchi nyingine zilizoendelea karibu kila mtu anamiliki gari na matumizi mengine yanafanyika ila kwa sharti moja kuu, KAZI. Bila kufanya kazi na kujipatia kipato halali maisha hayaendi katika nchi hizo...ndio maana...
Back
Top Bottom