Labda swali ni hili Huyu unaemuita mtumishi wa watu analipwa pesa zipi??? Kwa nijuavyo ni kuwa Bunge linatengewa pesa na Serikali... So kama wabunge wanalipwa na Serikali then wana fall in the same category... Hakuna Kusafiri mpaka Kibali kitoke IKULU.... Kwani hivyo Vibali havitoki??? SAFI...
Hii game AW ndo anaharibu... Hakuna umuhimu wa kuchezesha RAMSEY right wing wakati kuna WALCOTT ambaye anaweza cheza hiyo nafasi kwa ufanisi than RAMSEY.... We need a STRIKER... GIROUD is Good but not Good Enough!!!!
This is Football!! We lost "BADLY" Salute to Liverpool! Lets think of the next game!!! We will meet these guys again in FA!! It will be a PAYBACK "MAY BE" !!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.