SMA nauza 55,000 kwa kopo minimum kopo 10
Cerelac ni gram 400 nauza 30,000 minimum kopo 5, au ukinunua na maziwa hata kopo moja unatumiwa.
Ukitoa order leo inafika TZ baada ya siku kumi, mzigo inatumwa kwa ndege kila ijumaa kutoka UK/USA na EUROPE
Karibu sana mkuu..!
Wakuu natafuta kiwanja cha bei poa maeneo tajwa hapo juu, kisiwe mbali na barabara kuu, Na prefer chenye hati au offer, Kianzie Square Metre 1000 kisizidi 1200, kikipatikana cha square metre 800-900 i dont mind
Natanguliza shukrani
N.B Nimekosea hapo juu ni Salasala sio Saladala
Nauz maziwa ya watoto aina ya SMA, APTAMIL na COW and GATE original kutoka UK, bei ni tsh 55,000 kwa kopo la mil 900, Naleta kwa order ambayo inachukua siku 10 unalipi unapopokea mzigo... For more info visit nunuatokauk au whatsapp +447917566270
KARIBUNI SANA
Pia nauza Cerelac kwa order
Mahadia yupo USA, Yo rap bonanza naona baada ya kifo cha nigga uno kilipoteza nguvu ingekuwa sa hvi wangesema nigga uno alikufa na nyota, kwanza unit niliwai kumuona eazy B , Koshuma aka Fresh G amefungwa china nasikia lkn, wengine hata sijui waliko, No kuna mmoja yuko uk nadhani ni Kibacha...
D.Rob due to security reasons siwezi kufunguka sana si unajua na yeye alikuwa mtoto wa Vitoto, maana mchizi yule alikuwa anachanganya watoto wa kizungu wanafunzi wa ist, wabongo wakishua mpaka vicheche vya kinondoni ss unategemea nini? Inaweza ikawa CD zimepungua plus ngada ndio nitolee
***...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.