UPENDO ni Roho/Nafsi zenye umoja/oneness wenye FURAHA, kibinadamu huwezi kuielewa, nje ya ubinadamu UPENDO ndo unauona dhahiri
Duniani tumekuja kwaajili ya kukuza UPENDO tu
Pamoja na mambo yoooooote, hakuna zawadi kubwa kutoa na kupewa kama UPENDO
UPENDO unabeba vyote, watu wenye FURAHA haijalishi tajiri au masiki ndani yao kuna UPENDO
Kuna watu wana UPENDO kupitiliza kiasi kwamba akikusaidia mpaka unapata FURAHA ambayo ndani yake unaambatana na UPENDO
Ukitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.