Search results

  1. M

    Rashid Othman ndiye Boss wa Usalama

    kama wana-forum mnakubuka Mama Mongela alishawahi kugusia issue hii bungeni wakati fulani, kipindi cha Mkapa. Kama sikosei alishauri kuwa uteuzi wa viongizi wa nafasi ungekuwa unafanyiwa scrutiny bungeni(Rais angependekeza). Umuhimu wa mawazo ya huyu mama yetu sasa nafikiri kila mtu anauona. By...
  2. M

    Mali ya bil. 2/- yauzwa kwa mil. 800/-

    Huu ndiyo wakati mwafaka wa vyama vya upinzani(kama vingekuwepo) kuonyesha nguvu yake. Vijifunze kutoka Georgia, Ukrain, Serbia, n.k. Hakuna nguvu inayoizidi nguvu ya umma. Wananchi wakipata viongozi wazuri wa vyama vya upinzani(vyenye nia njema na TZ) wanaweza wakabadilisha hata mikataba...
  3. M

    Waziri Lawrence Masha hana uwezo

    Ndugu wana-forum hivi viongozi wetu watajua kuwajibika kwa wananchi lini? Au ndiyo yale yale ya kudanganyana majukwaani? Walalahoi na wenye uchungu na ile nchi nafikiri mtaniunga mkono kwa hili. Kinachojionyesha sasa ni kwamba tuna kopi za akina Sumaye, Kigoda kwenye hili baraza la mawaziri la...
  4. M

    Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania!

    Mimi nashangaa sana. Hivi India na Pakstani zina tofauti gani na Iran au North Korea. Au simply because Iran and North Korea are not ready to KISS America's ass? Mimi nawaheshimu sana viongozi wa Iran na North Korea. Wanalinda heshima na maslahi ya nchi zao. Tunataka JK agangamale kama...
  5. M

    Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania!

    Mimi nashangaa sana. Hivi India na Pakstani zina tofauti gani na Iran au North Korea. Au simply because Iran and North Korea are not ready to KISS America's ass? Mimi nawaheshimu sana viongozi wa Iran na North Korea. Wanalinda heshima na maslahi ya nchi zao. Tunataka JK agangamale kama...
  6. M

    Mikataba ya Madini na Serikali ya Tanzania

    Magazeti yameandika kuwa mikataba ya madini inatamka wazi kuwa kila mwekezani anatakiwa kuchangia dola za kimarekani laki mbili na arobaini elfu ( 240,000$US ) kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wanoishi eneo lenye mgodi. Sasa mimi najiuliza kwanini serikali iliyopita haikuliweka wazi hilo...
  7. M

    Tanzania: Vyeti bandia, elimu za kununua na watumishi vihiyo

    Haya ndugu zangu. Aibu kubwa ndani ya CCM. Wabunge wanahojiwa kwa kufoji vyeti vya Elimu. Sasa huu ni wakati mwafaka wa kuwaanika wote wa aina hiyo. Nakumbuka kuna ndugu mmoja aliwahi kutoa orodha ya wabunge na vigogo wanaojiita madaktari(wana PhD). Naomba wamwagwe hapa kijiweni...
Back
Top Bottom