Nimecheka apo manesi walivokuwa wanawashangaa. Manesi s'times wana ujinga mwingi sana😄😄apo ungezubaa kidogo wangeanza kukuminyaminya kukuhakiki km ni wewe au🤣
Binadam anajifunza kwa kuona. saivi hakuna madhara ya UKIMWI yanayoonekana na bado kuna usiri mkubwa sana. serekali ni km imekaa pembeni kwene kuelimisha watu. Ugonjwa hauwezi kuisha huu.
☆Awe na kazi yake ya kuajiliwa au kujiajiri
☆Asiwe na njaa
☆Asiwe na mtoto anaemtegemea
☆Awe huru asiwe na vidumu a.k.a madume wengine
☆Dini au rangi sio ishu
Single Mazaz Karibuni
mkuu unantia machungu nna mmoja hapa kuna kazi niko naye ni majanga matupu. yaani spelling haziungi mwanzo mwisho. sijui hata wanasoma nini huko chuoni.
Daah hawa jamaa wote wa mabasi makubwa na wenzao wa serekali wanajikuta wao pekee ndo wenye haki ya kutumia barabara. Wanaovateki hovyo tena hata hawajali uwepo wa gari zingine hasahasa hizi gari ndogondogo.
Asante mkuu kwa elimu hii muruwa kuhusu friji kiukweli tunapigwa sana na hawa wanaojiita "mafundi " unaweza kumwita fundi aje kutengeneza kumbe ndo anaharibu mazima unakuta fridge huwezi kutumia tena.
Daah huku mahala ni middle of nowhere jamaa wanakunywa maji yale ya rangi ya maziwa ya kwenye mifereji. huku hata miaka elfu ipite sijui km watapata maji ya kunywa meupe
× Hao ni watu muhimu sana.
× Wanalea ndoa nyingi sana hasa maeneo ya mijini. Mke akizingua unakimbilia huko kujipooza maisha yanaenda.
× Ukichunguza ubakaji mwingi upo zaidi vijijini ukilinganisha na mijini.
× Wanapunguza sana ubakaji na watu kuparamia vitoto vidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.