hizo ni propaganda zinazotaka kuonyesha chuo kimoja ni bora kuliko vingine...na haya yote ni kuhofia kupoteza umaarufu wake.
Mtoa mada kumbuka mpaka chuo kifikie kuitwa chuoa kikuu kuna taratibu zinapitiwa ikiwa pamoja kuangalia viwango vya walimu wao,mitaala na kama inajitosheleza katika vifaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.