Ulevi wa madaraka ni mbaya sana, kushinda vilevi vyote hapa duniani. Ila Allah mwenye nguvu nyingi na mwingi wa Rehema, akawaadhibu wote wenye kudhulumu wazi wazi haki zetu, InshaAllah.
Ni kweli ni ishara mbaya sana, kwani hata kwenye maandiko hilo swala limezungumziwa. Na kinachosikitisha zaidi ni kwamba katika ofisi za umoja wa kimataifa, chumba cha kuabudia, wameweka sanamu la jua. Kweli naona zama za yule mnyama mwenye chapa ya 666 zimekaribia!!
Kwani hata mr (JK) si alishasema mla huliwa. Magufuli hana nguvu ya kupambana na hizi papa na nyingine nyingi. Kwa ufupi ni kwamba taasisi anayoongoza sio saizi yake.
Unajuwa mtu ukizeeka unakuwa na akili za kitoto. Sio kosa lake ni kosa la akili yake. Na pia kapata cheo kilichomfanya asaliti chama chake. Nashangaa jogoo kageuka mtetea (TLP).
Duh! Kama Hiroshima ilipigwa kwa bomu moja la nuclear, vipi hili la BENNU, tunaloambiwa ni sawa na mabomu 200 ya nuclear!!? Au ndio kiama kimekaribia? Naombeni mawazo yenu wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.