Wanabodi,
Mimi nina swali moja tuu kuhusu hii ishu ya mikataba , Kwa nini inakuwa siri ? Mimi nilitegemea ya kuwa mikataba ingekuwa inawekwa wazi ili wananchi wajue what to expect !
Mikataba hii inagusa maisha kila either direct or indirect kwa hiyo wazalendo tuna kila sababu ya kujulishwa...
Nimekuwa nikifuatilia mijadala hii na kusema ukweli nimevutiwa na michango ya nguvu na iliyoenda shule inayotolewa na wanabodi.
Kyoma mimi nina ombi kwako , jee una mpango wowote wa kuandika kitabu ? kusema ukweli mawazo yako ni mazuri sana na ninahisi jamii ingenufaika sana kama yangewekwa...
Mimi sio kwamba nilikuwa namtetea Salim , ninachopinga mimi na nitakachoendelea kupinga ni vigezo vilivyotumika kumnyima huyu bwana Urais ! Jamani kilichofanywa na wana mtandao ni discrimination mbaya kabisa inayogusa rangi ya mtu . Jamani lets put ourselves in salim position and tell me how...
Mzee ES,
Kuna kipindi wakati wa kampeni za uchaguzi kama utakumbuka tukiwa BCS nilikuwa critical sana wa JK , Mimi nilishajua ya kuwa JK awezi kuwa kiongozi mzuri kwa sababu ameingia pale kiujanja ujanja , mambo wanamtandao waliyomfanyia salim yatawa haunt milele ! kitendo cha kutumia rangi...
Mzee ES ,
Wazee walioluiza maswali ni wawili mmoja nasikia anatoka DC pale ubalozini na mwingine anatoka philadephia . Hawakuuliza maswali bali walitoa maoni ya kumsifia kikwete kuchaguliwa kwake na hii yote inaonyesha dhahiri ya kuwa maswali yote haya yalipangwa .
Watu wanasema nimeeleza...
kwanza napenda kuchukua nafasi hii kuwasalimu wanabodi wote bila ya kusahau wale wenzangu waliotoka BCS ! Wanabodi kwa muda mrefu tangu JK achaguliwe kuwa rais amekuwa akimwagiwa sifa kem kem hapo nchini , na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi nini hasa kilichowavutia wazalendo ?
Juzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.