Search results

  1. Kiwi

    Waziri Mkuu Majaliwa: Atakeyeonea waandishi wa habari kukiona

    Azori Gwanda yuko wapi? Aanze kwa kuhakikisha ukweli kuhusu 'kupotea' kwake unawekwa wazi. Familia yake wajue kama yuko hai au la, na warudishiwe mtu wao!
  2. Kiwi

    Rais wetu usiogope kukiri umekosea, ni uungwana!

    Anaitwa Haambiliki! Anajua amekosea, yuko uchi na kuchutama hataki! Kwani hajui kama amekosea? Anajua lakini kwa kauli yake, 'Mimi ni Jiwe'. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Kiwi

    Mazishi ya Dkt. Augustine Philip Mahiga kijijini kwake Tosamaganga mkoani Iringa. Mkewe ashindwa kuhudhuria baada ya kuwa Kenya akiuguza mtoto

    Jamani msilolijua nyamazeni. Mama Mahiga mwanawe ni mgonjwa sana, kitu kilichopelekea mama kuitwa aende kumuuguza. Alipofika Nairobi kuna karantini ya siku 14! Bado hajamaliza hata hiyo karantini mumewe anafariki ghafla, mwanawe yuko taabani. Ombeni yasiwakute. Huyu mama anapitia kipindi kigumu...
  4. Kiwi

    Serikali yakanusha kutokea vifo 50 vya COVID-19 kwa siku jijini Dar

    Kwa hiyo tuamini ya kuwa waliokufa mpaka sasa bado ni 16? Mnatufanya wajinga kiasi hicho? Katika siku chache binafsi nimepoteza watu watatu wa karibu. Mmoja kazikwa na Serikali jana, mwingine anazikwa na Serikali leo. Wa tatu kafariki leo asubuhi kwa changamoto ya upumuaji, hatujajua maziko yake...
  5. Kiwi

    TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

    Pumzika kwa Amani Balozi Augustine Mahiga! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Kiwi

    Niliyoyashuhudia leo Muhimbili

    Pole sana. Ndipo tulipofikishwa. Mhudumie mgonjwa wako sehemu nyingine kama ulivyoamua kumpeleka private. Mkirudi nyumbani kaeni ndani. Hakuna msaada kutoka kwa viongozi, jilinde mwenyewe na uwapendao! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Kiwi

    #COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Mama yangu kazaliwa na kakulia Kariakoo Mtaa wa Muhonda. Sasa hivi ndio tumemhamisha anakaa Magomeni Mapipa. Ana miaka 80. Kijijini nimpeleke wapi? Siyo kila mtu anayeishi mjini au anayeishi Dar ni mtu wa kuja. Wenyeji walikuwepo na wapo. Wageni rudisheni wazee wenu vijijini wenyeji tuacheni...
  8. Kiwi

    Huu mchepuko wa aina hii umenishtua kidogo

    Mungu Hadhihakiwi. Siku yao itafika!
  9. Kiwi

    Msaada: Mbwa wangu aliyezaa hivi karibuni amefariki baada ya kupiga kelele kwa muda mrefu

    Pole sana. Ungewahi kumpeleka kwa daktari wa wanyama huenda wangegundua tatizo lake. Sasa hao watoto wake wasiliana na daktari wa wanyama haraka iwezekanavyo akupe ushauri wa uhakika.
  10. Kiwi

    Natafuta mdada wa kumuhudumia mama yangu kitandani..

    Jaribu namba zifuatazo 0715 573747, 0712 660406, 0657 531212, 0767 989656. Hizo namba nilikuwa nazitumia kama miaka mitatu iliyopita, inawezekana zimebadilika. Ushauri mzuri zaidi jaribu kucheck kwenye Google huenda wakawa na latest information na contact details za uhakika zaidi. Wanaitwa Quiz...
  11. Kiwi

    Natafuta mdada wa kumuhudumia mama yangu kitandani..

    Kuna agencies zinaweza kukusaidia. Sikumbuki jina vizuri lakini nafikiri Quizup (?) walikuwa na ofisi yao Kinondoni. Sisi walitusaidia sana wakatupatia mtu wa kumtunza baba yetu (RIP) alipokuwa mgonjwa wa kitandani na kuhitaji huduma kama hiyo. Mama yetu ni mzee asingeweza kumhudumia baba, na...
  12. Kiwi

    Nafasi ya wajomba katika ndoa ya mtoto wa kike

    Kwetu sisi mama ni mtu muhimu sana kwa mtoto. Mama hasingiziwi, tofauti na baba (naomba msinirushie madongo). Siku hizi kuna DNA Test ya kuthibitisha vinasaba vya baba, lakini zamani kulikuwa hakuna namna ya kuthibitisha kuwa huyo anayetajwa kuwa baba wa mwana ni baba kweli au kasingiziwa. Kwa...
  13. Kiwi

    Mtoto kugoma kucheza tumboni

    Yaani kesho mbali sana. Hiyo siyo dalili nzuri. Mtoto anapata kitu kinachoitwa fetal distress. Ikitokea hali hiyo madaktari wanakazana kumwokoa mtoto kwa maji ya uchungu au hata Ceasarian Section (Upasuaji). Nayajua, sikutanii, yalishatukuta. Kesho mbali sana mtoto asipocheza anaanza kukosa...
  14. Kiwi

    Ubalozi wa Marekani watahadharisha kutokea kwa mashambulizi maeneo ya Masaki jijini Dar es Salaam

    Hii tahadhari imelengwa kwa watu wao, ingawa ujimbe umeshafika kwa wote. Raia wa Marekani ndio wanapewa hiyo tahadhari.
  15. Kiwi

    Kuzidi kwa utegemezi kwenye familia zetu za Kibongo.

    No, no, no. Imetosha, amewahudumia Wazee waliomlea na kumsomeaha. Hana deni kwa hao ndugu wa mama yake ambao hawakutaka hata kujiongeza wakati Wazee walipokuwa hai. Wapambane na hali zao na yeye akazane kujijenga mwenyewe na familia yake!
Back
Top Bottom