Search results

  1. Fixed Point

    Tukumbushane Member Maarufu Chit-chat

    Missed you too my dear. Nipo salama
  2. Fixed Point

    Mitazamo ya kike na kiume

    Nanyi nawatakia the same....... najua rafiki yangu Kaunga atanikaribisha pilau ya sikukuu
  3. Fixed Point

    Mitazamo ya kike na kiume

    we are friends, right? kwa nini nisihofu kukuhusu?
  4. Fixed Point

    Mitazamo ya kike na kiume

    yes, through his posts
  5. Fixed Point

    Mitazamo ya kike na kiume

    ha haaaa, I suspected...... Mimi muzima kabisa, hofu kwako
  6. Fixed Point

    Mitazamo ya kike na kiume

    ha haaaaaa in terms of resources or time?
  7. Fixed Point

    Mitazamo ya kike na kiume

    I can attest to that
  8. Fixed Point

    Nimemzidi umri kwa miaka 12

    Mi nimesoma nikaishia kujishangalia tu...... labda kama hana uwezo wa kutunza watoto peke yake incase mkaka akiingia mitini...... If I were her ningewasoma na kuwaelewa sana babu yetu Dark City na rafiki yangu The Boss (salama lakini) Rafiki Kaizer endelea kutoa somo, kitaeleweka tu
  9. Fixed Point

    Ushauri kuhusu mtoto wangu, Mimi ni Mzazi mpya

    Hongera sana kwa kupata mtoto..... Watoto wanaonyonya vidole huwa wanakuwa wavivu sana kunyonya na hata kula, wanapokua. Na pia wanakuwa siyo wasumbufu, wapo comfortable na vidole vyao. kumdhibiti kuwa inakuwa ngumu kidogo. Ulalaji wa tumbo huwa tunashauriwa sababu watoto huwa wana tabia ya...
  10. Fixed Point

    Hii ya Agness Masogange kutokea mtandao wa Media take out

    nimeona rafiki... asante kwa kupaza sauti..... na huyu mdogo wangu snowhite naona anajizeekea tu, ndo kusema kasahau my original name?
  11. Fixed Point

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    will do that rafiki...... Uwe na siku njema pia
  12. Fixed Point

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    kwa kweli nilifuatilia haswaaaaa...... hongereni sana rafiki.
  13. Fixed Point

    Nifanyaje ili nisipende sana, naomba ushauri

    umesema sahihi kabisa rafiki..... Aendelee tu kupenda labda siku moja atabahatika
  14. Fixed Point

    Valentine day special: Tuma salaamu na kuchagua mziki kwa umpendaye

    ha haaaaa, mimi bado mwanachama. sijui labda tuwaulize members wenzetu BAK na snowhite kama bado wanaendelea
  15. Fixed Point

    Valentine day special: Tuma salaamu na kuchagua mziki kwa umpendaye

    Nitaongea na mtu mzima mwenzangu Dark City amsamehe huyo mjukuu wake MwanajamiiOne....... hakuna kitakachoharibika
  16. Fixed Point

    Dk Hoseah akiri Takukuru ‘kunuka’ rushwa

    Frankly speaking, mpaka leo sijajua hiki kitengo kilianzishwa kwa madhumuni gani....... serious!
  17. Fixed Point

    Hivi ni sahihi kwa mwanaume kulala ukweni?

    rafiki ukweli hizi mila ni wachache sana wanazishika, wengine wameshasepa. kwa mfano sisi tuna mila ya kunyoa kipara kabisa, na wembe, mtu wa karibu nawe akifariki. sikushangaa kuona hata wifi zangu walikataa kunyolewa kwenye misiba ya wazazi wao, nami nikapata pa kuchomokea, na wazee wa hapo...
  18. Fixed Point

    Hivi ni sahihi kwa mwanaume kulala ukweni?

    Ni vizuri umesema nyingi, siyo zote. kama ya huyo jamaa inaruhusu kama ya kwetu ajimwage tu
  19. Fixed Point

    Hivi ni sahihi kwa mwanaume kulala ukweni?

    hapo kwenye RED ndo mambo yote best, na ni muhimu kuzingatia hilo. Kwa hiyo tusishangaane.
Back
Top Bottom