mkuu hakuna tiba mmbala maana naona ni ugonjwa wa utu uzima ambao mii nipo jirani nao sana.kama kuna tiba mmbadala tuwekee mkuu. nimeku pm mkuu nipe msaada mkuu
ni balaa kila kitu kitimoto wanalishwa arv kuku wanapewa vidonge vya uzazi wa mpango n`gombe wakitwangwa machanjo ya kuzuia maradhi hawatakiwi kukamliwa mpaka baada ya siku tatu je ni mfugaji yupi anayeyakubali masharti hayo aache kuingiza maziwa sokoni kisa sindano?? natuombe mungu tuu wandugu...
nikupe pole kisha niwakumbushe kuwa ajapomwacha huyu ajaye anajua atakuwa wa aina gani? pengine atakuwa zaidi ya huyu na akaongeza ufanisi na umakini zaidi hivyo kusudio likakamilika? limbwata usijeliona ni balaa kubwa mno.waweza kuwa zezeta ghafla mno kila atakalo unamtimizia bila mjadala.aweza...
kweli leo naamini zanzibar wakipiga chafya bara mafua tayari. hivi ni kwa nini tunaikolia zenji kuna faida gani haswa tuipatayo toka huko au ndo hayo mafuta ya kufikirika wandugu?? kwani wakijitoa tutapata hasara gani wapendwa? enzi ya vita baridi ilishapita nini tena wa bara twasumbuka nao...
waasisi wa chama cha taa na baadaye tanu walikuwa na umaarufu gani?? ulipozaliwa ulijikuta ukiwa mkubwa kama ulivyo au ulipita kwenye malezi kama wanaadamu wote??? kwako maarufu ni kingunge,tingatinga na wenye mvuto ni ra, el nk nk nk.pole na ugua salama na malaria sugu
kwani hujawahi toka nje ya uwanja wako hata mara moja?au huyu kuna kasoro uliyogundua ndo unamwanika hapa mbona hao wengine hujatuanikia hapa.subiri akikubaka njoo hapa umshtaki tumchape viboko
kula tano mzee mwenzangu maana ulinichanganya sana nikadhani kuna mtu anatumia jina lako vibaya lkn sikuona ukikanusha. kutuweka vizuri zaidi ebu tujazie makala ya lula wa ndaliwamunzila raia mwema toleo no 145 mii sina utaalamu huo. asante sana in advansi
nini wafungwa angalau wanakuwa wametiwa hatiani mahabusu je?mbona wanatumikishwa ka wafungwa wanapekuliwa bila chupi kwa kuinamishwa. yaani ni full udhalilishaji jina afande lisipungue mdomoni kero kero kero kuwa mahabusu tz afadhali uwe mfungwa. jamani injiiii hiiii nie acheni tu usiombe kukosa...
ni deci mpya kwa jina jipya. mi mwenyewe nimevuna zaidi ya pointi 59000 sijaona chochote na maswali yao yamekaa kiubongo fleva fleva. kwa ujumla ni wizi mtupu na usijekuta tunachangia kijani na njano kwa ushindi wao wa kishindo.bora tigo nimeambulia 10m air time. ni matatizo yetu ya kutaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.