Nadhani hili ndilo la kujadili pamoja na uthibitisho kuwa waraka huu ni wa kweli kutoka kwa mtuhumiwa.Coz kama ni kweli basi kuna haja ya kuunga mkono kwa sababu walikuwa na nia njema na chama. Kama kweli Chadema wamewafukuza hawa kwa hayo hapo juu,Hali ni mbaya coz wenye macho na masikio twaona...
soma hii makala then utajua kwanini amerika hataki na hawezi kulianzisha.
N Korea Military Tactics
In A War With US
A Strategy Of Massive
Retaliations Against US Attacks
By Han Ho Suk
Director Center for Korean Affairs
4-24-3
North Korea has not only the military...
tatizo kubwa ni vijana kutojua kwanini wapo hapo walipo.siwalaumu vijana bali vyama vya siasa kutotoa elimu ya uraia na sera za vyama kwa kiwango sahihi.
waliotakiwa eneo la tukio ni serikari na vyombo vya ulinzi,wengine wote walienda kupoteza muda na kuhatarisha maisha yao.kama hatuna system nzuri inplace ya kuokoa maisha wakati wa majanga basi tusilaumu wanasiasa walioacha kwenda kwasababu ya usalama wao na pia kutoa nafasi kwa vyombo vya uokaji.
Kwi Kwi Kwi! Nakweli mnatembea Kama bata na magauni yenu, hivi kwanini wauza mbuzi katoriki ikifika ramadhani husema ni low season?????
nguruwe anachinjwa dada.
Ntakuwa na amani nikiku support wewe,una base na hoja yako, sio kwasababu usa wanafanya.uliwahi ona usa wana Raisi mwenye umri chini ya 45? zitto huna hoja,yako ni kuwa umezidi miaka 35 tu.bora hii ya kutimiza haki ya kila mtanzania kikatiba.kuchagua na kuchaguliwa.unaweza kusikilizwa na watu...
Hiyo ya kupunguza umri wa ugombea uraisi itanifanya niikatae katiba hata kama mengine yatakuwa mazuri kiasi gani.Tunahitaji Raisi mwenye Uzoefu wa kutosha na kwa miaka 35 bado sana.Zitto huu ni uchu wa madaraka,subiri mda utafika.
By definnition poison is any substance which causes death or illness when taken by the body.
Na kwa hicho kipengere ulicho nakili hapo juu kinasema kuna kitu kwenye bone marrow kkilichosababisha ugonjwa wakr. Kwa nilivyoelewa ni kwamba wametamka ana sumu kwenye bone marrow kwa kutumia maana...
simuelewi Hon Malima,
Unaposema wanatuzidi ujanja si kweli kwani tuna sheria nzuri ya kodi(INCOME TAX ACT) ambayo kama ikitumiwa vizuri itaziba kwa asilimia kubwa mianya ya profit disappearing. Hilo suala la tujifunze kwanza huku wenzetu wakiendelea kufaidi peke yao sio sahihi, na ndio maana...
NFRA wana point muhimu hapa,
Kama wananunua mahindi kati ya 300 na 330 kwa kilo vijijini,kwa kuamua kuwauzia wasagaji kwa Tshs 400/kg(mfano) kutafanya bei ya unga ishuke sana na sana.
Kwa mantiki hiyo kutafanya wannachi wengi wawe na option kati ya kula ugali na vyakula vingine,litakalotokea...
NFRA wana point muhimu hapa,
Kama wananunua mahindi kati ya 300 na 330 kwa kilo vijijini,kwa kuamua kuwauzia wasagaji kwa Tshs 400/kg(mfano) kutafanya bei ya unga ishuke sana na sana.
Kwa mantiki hiyo kutafanya wannachi wengi wawe na option kati ya kula ugali na vyakula vingine,litakalotokea...
Na hapa ndipo hoja ya mzanzibari kuwa raisi muungano inapokosa mashiko,wao wana Nchi na Raisi sasa iweje waongoze na nchi yetu ikiwa jk nini tu kufanya teuzi au maamuzi yoyote kuhusu zanzibar wakati hata sherehe tu ni mualikwa.
Tuachiwe tanganyika yetu tuongoze wenyewe.
katiba yetu haifai kumpa mzanzibari uraisi wa muungano, Hata mhe mwinyi ilikuwa ni kosa,vipi atafanya maamuzi kwenye mambo ya watanganyika yasiyo ya muungano?
Kwa wao kukubali muundo wa serikali mbili huku hii ya muungano ikitawala na mambo ya watanganyika kumehalalisha watanganyika kuongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.