Search results

  1. M

    Kwa kikotoo kile hakuna siku utalipwa mafao yote

    Personal attack inakusaidia nn? Kwani kikokotoo ni cha walimu tu?
  2. M

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Acha kutudanganya wewe hujastaafu , unatetea dhuluma wewe
  3. M

    Elimu: Changamoto za utekelezaji wa kalenda ya mtaala

    wamesema kuwa mpango huu ulishafanyiwa utafiti ndani ya Tanzania
  4. M

    #COVID19 Waziri Gwajima: Viongozi wa Serikali wasiochanjwa waachie ngazi

    Ataakuwa KE wa kwanza kutumbuliwa awamu ya 6
  5. M

    Utetezi wa Gazeti la Raia Mwema kabla ya kufungiwa

    waliosoma na Msigwa hivi alipata division ngapi vile?
  6. M

    Rais Samia ni lini mtalipa malimbikizo ya mishahara ( Salary arrears)...??

    Ni Mwendo wa porojo tu, kashindwa kuongeza mishahara, kashindwa kupunguza payee, Kashhinwa kulipa malimbikizo, hata madeni ya uhamisho hatali hata ifike mei mosi 2025
  7. M

    Rais Samia amepoteza ushawishi kwa wananchi

    Tangu julai nilipoteza matumaini maana lile punguzo la Payee ya asilimia 1 kuwa sh 2500/= liliniletea maumivu makali maana ahadi yake aliyoitoa mei mosi ikawa ni uwongo dhahiri
  8. M

    Salary slip ya Julai, 2021: Hakuna Tzs 2,500, deni la HESLB halijapungua

    Tuliambiwa kuna punguzo la kodi kwa asilimia 1 HAMNA KITU, NI DANGANYA TOTO
  9. M

    Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

    Ni sahihi unachosema kwa asilimia100, Leo hii Tz ipo hivyo , Kigezo cha uteuzi ni NANI ANAKUJUA
  10. M

    Waziri Ummy punguza kujieleza, unajifunga sana katika maelezo yako

    TAMISEMI ni wizara iliyolundikiwa idara nyingi ndo maana haitawezekana kuwa na ufanisi, hakuna waziri aliewahi kuimudu wizara hiyo badala yake imekuwa wizara yenye madudu kibao kuliko wizara yoyote hapa nchini, dawa yani kupunguza idara nyingine ziende wizara mama, mfano elimu na afya
  11. M

    Kamwe siwezi kulidharau dafu huku nikijua embe ni tunda la msimu

    kuongoza nchi siyo sawa na kuongoza familia yako!
  12. M

    NMB acheni uzembe, mnachefua sana

    Mm wameniita Zainabu
  13. M

    Simbachawene apiga marufuku Polisi kukamata wananchi, bodaboda bila kufuata utaratibu, Uchaguzi Mkuu wa Huru na Haki 2020

    Kuna ukamataji unafanyika hapa Masasi eneo la maili 6 na Mtandi kupitia picha au torch fake, ukiendesha gari speed ya 20 au hata 40 wanakuandikia speed ya 72 hadi 80. hawa nao wanatunyanyasa sisi madereva. yamenikuta haya ktk kituo hiki mara 3 sasa hadi nadiriki kusema hiyo torch yao ni feki...
  14. M

    Niulize chochote kuhusu St. John University of Tanzania

    una maana gani unapoandika 30k, 70k, 80k, hiyo k ni kitu gani?
  15. M

    Mtwara: Watoto 11 wa kiume hawajulikani walipo kwa zaidi ya siku 10. RPC asema huwenda Watoto hao wameenda Msumbiji kwani walishawahi kukamatwa

    Yawezekana msimu wa korosho umewabeba watoto pamoja na watu wazima pia maana fikiria iwapo mtu analipwa sh 10000 kwa siku hadi msimu uishe atakuwa na kiasi gani cha pesa?
  16. M

    Serikali yatoa siku 4 kwa wafanyabiashara wa Korosho kusema tani wanazohitaji. Baada ya hapo hawataruhusiwa tena kununua

    wakulima wa korosho njooni katika maisha ya mashetani sasa. jiungeni kama walivyojiunga watumishi wa umma
  17. M

    Kuna tofauti kubwa ya mwezi wa saba miaka ya nyuma na mwezi wa saba miaka hii

    Tofauti ni kwambi mwezi wa saba ya kabla ya 2016 nilikuwa naishi kwa kumkaribia malaika, lakini mwezi wa miaka kuanzia 2016 naishi kama shetani na inawezekana ifikapo 2020 nitakuwa shetani kamili kimaisha!
Back
Top Bottom