Kitu pekee kinachoimaliza CHADEMA ni UCHAGA-chini ya MBOWE.....hakuna kingine....we jamaa alichana maazimio ya kikao kuhusu mapendekezo ya viti maalumu akapeleka yake, kisha akamsukuma Slaa akatetee kikao kilichofuata....kidogo wamtimue, mbowe akaingilia kuomba radhi....NA HUU NDIO UDHAIFU WA...
Jamani mnataka twende chama gani?...ccm ndo imekufa tayari, na JK ameita mawaziri wote Ikulu leo...nadhani anakwenda kueleza namna serikali ilivyoshindwa chini yake...Ni kweli kuwa mbowe ni tatizo...lakini ndio mwenyekiti wa chama. kwanini msisubiri amalize miaka yake minne? kwani katiba ya...
NIKATIKA KAZI-"wazee hivi hili swala la posho mbili kwa wabunge limebeba uzito kuliko lile la richmonduli, EPA nk??? maana naona saa hizi attention inahamia pande nyingine. mimi naona waliendeleze kwanza la richmonduli , halafu lije la posho mbili."
Watu mnakosea sana. huu mjadala wa posho...
Mkuyu mkubwa nakubaliana na wewe..lakini punguza hasira. binadamu ni binadamu, hata kama ana akili chini ya mbuzi, bado anastahili kupewa heshima ya ubinadamu. mwenyewe nilikuwa nakereka na hawa jamaa walioanza kuweka michango ya chuki dhidi ya zitto humu..
Tupende tusipende zitto ni kijana wa...
Asema iwapo ni mtu safi kwanini anaogopa Takukuru?
Asisitiza malipo ya posho mbilimbili ni ni wizi na ufujaji
Spika Sitta aendelea kuwatetea wabunge wa kundi lake
Waziri Marmo awageukia Takukuru, awatetea wabunge
Na Mwandishi wetu
Tanzania Daima,
Oktoba 30,2009
Mzozo unaohusu wabunge kupokea...
MASANILO na MKUYU MKUBWA ondokeni kwenye mjadala huu.,,,,mana mwanzoni nimeona mkuyu mkubwa unajenga hoja, ghafla naona umeendekeza upuuuuzi wa MASANILO
1. Nakupongeza Mh Zitto kwa ujasiri wa kukubali PCCB iwachunguze wabunge ilhali wewe ni mmoja wa wabunge. Hiyo ndio misimamo ya viongozi tunaowataka...nakumbuka Nyerere aliwahi kupunguza mshahara wake kabla hajaruhusu kupunguza mishahara ya mawaziri,nk....uongozi ni kuwa tayari hata kusimamia...
TUsisahu kitu kimoja hapa...mwakyembe anasema kuna mambo walificha kulinda heshima ya serikali..wasiwasi wangu hili scandal ni la serikali nzima ya JK....mana kama kuna vitu vilifichwa kulinda heshima ya serikali, ni vitu gani hivyo wakati vilivyotolewa tu vilitosha waziri mkuu kujiuzulu...
MIMI NAAMINI TANZANIA DAIMA INAYOMILIKIWA NA MBOWE HAIAMINI KATIKA SIASA ZA CCM NA MGAMBO WA UFISADI...KWA STORI KAMA HIZI, GAZETI HILI LINATHIBITISHA HOJA YA CHADEMA KWAMBA CCM NI WALEWALE.....HAWA MGAMBO WA UFISADI NI WASANII TU KAMA ALIVOFANYA USANII JK KWA MBWEMBWE ZA ARI, NGUVU NA KASI...
Hakuna chaguzi ngumu kwa vyama vya upinzani kushinda kama hizi za mitaa. Hata hivyo, katika hali inayoonesha mwanga mpya, majimbo matatu ya mkoa wa Kigoma yanaonesha kukubalimabadiliko ya kweli na Uhuru wa kweli...haya sio mengine..
kwanza ni jimbo la Kigoma mjini ambalo CHADEMA inaongoza kata7...
Hongera Mh Zitto....kweli umewaacha mbali..wa kwanza zitto 25%, anafuatiwa na Kilango na Slaa 8%? afu ndo Mwakyembe 7%..mwendo mdundo dogo....Mkandala hajaelewa maana ya 25% katika utafiti huu...ni kwamba ukijumlisha alama za wabunge wote hapo kwenye chart unapata100%.....kwahiyo katika...
Wakati mjadala wa mgawo wa umeme ukizidi kushika kasi, na jana kijana Zitto kuamua kuvunja ukimwa kwa kutoa mapendekezo ya aina mbili; kushinikiza IPTL iwashe mitambo wakati mazungumzo yanaendelea..na kutaifisha mitambo ya Dowans....hotuba ambayo bado imetanda kwenye mijadala Tz kuanzia ndani ya...
zitto ni mbunge? PM? au Rais wa tz?..siku zote hapingi tu...anakuja na mapendekezo...Bravo Zitto...nadhani ndio maana Rais wa ujerumani, Horst Korhler mwaka 2006 ukiwa na mwaka 1 tu bungeni akakuteua kwenye timu ya washauri wake..unakwenda vizuri...mijadala ya namna hii inakujenga...
TAMKO LA MBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI NA MWENYEKITI WA KAMATI YA BUNGE YA MASHIRIKA YA UMMA, NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE KUHUSU MGAWO WA UMEME NCHINI.
COURTYARD HOTEL, DAR ES SALAAM
OKTOBA 15, 2009.
UTANGULIZI
Kwanza niwashukuru ndugu zangu wana habari kwa kukubali kuja kunisikiliza, hatua...
Mimi huwa nawaambia hii nchi haina viongozi...ni siasa za makundi tu...sasa mtamkumbuka zitto mliotukana kwamba kahongwa ilhali alijenga hoja kitaalamu.Hongera kijana zitto, nimesikia uko ujerumani unachukua PhD masuala ya uchumi...tuwasiliane...mbala-mwezi@yahoo.com
wanaopinga maandamano hawana hoja...Maandamano ni uamsho wa mshikamano...Nakumbuka hata Mwalimu Nyerere alifanya matembezi kutoka Butiama kuunga mkono Azimio la Arusha...Big JJ, Big Mnyika...lakini lazima mseme mafisadi hawaruhusiwi...ongeza hilo neno kwenye tangazo kaka
Extract 3
"Pamoja na kukiri kwamba, kikao chao kilibaini kuwa, tatizo la umeme litaendelea kulisumbua taifa kwa kipindi kirefu zaidi, Shellukindo alisema suala la kuitaka serikali kununua mitambo ya Dowans halikuwa sehemu za ajenda walizozijadili.
Hata hivyo, baada ya shellukindo kusema...
""Hii ni lawama ya Serikali na Rashid full stop. Yaani wamekuja bungeni na plan A peke yake na walipoambiwa STOP basi wakazila ili waje waseme "Si tulisema?". Kaulizwa swali na waandishi wa habari, Dr. Mzima kashindwa kajibu""-SKONGE
Mimi siamini kama Idrissa ana kosa. wenye kosa ni Kamati ya...
Extract 5
"(Shellukindo) aliishauri serikali kupitia Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2004, kuona namna ya kuondoa urasimu uliopo ili usiathiri manunuzi ya mitambo miwili itakayozalisha umeme wa jumla ya megawati 160, katika miji ya Dar es Salaam na Mwanza.
Hivi Shelukindo anaona udhaifu wa sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.