Ni vizuri tukaelewa kwamba kilicho kuwa kinawapa kiburi Watanzania kupeleka watoto private schools ni urahisi wa kupata pesa kupitia wizi wa pesa za umma.
jambo ninaloliona hapa kwanza udhibiti wa wizi wa pesa za umma ukibanwa vizuri automatically watu watarudisha watoto wao goverment school na hizo shule zitakosa wanafunzi. 2. inawezekana kabisa serikali ikaelemewa na mzigo wa kuwa na wanafunzi wengi sana kwani elimu itakuwa bure
Swala la utendaji kwa manufaa ya wananchi ni muhimu sana muda wa kulumbana umepitwa na wakati na wananchi wanazidi kuchoka na maisha yanasonga mbele tuanze kuwasukuma tulio wachagua wawajibike siyo ombi.
Comment zenu zinaonyesha ni jinsi gani hamja komaa kisiasa ila pole pole mtaelewa kwani kinacho wasumbua ni mapenzi na chama chenu jambo ambalo ndilo lililo ifikisha nchi yetu hapa tulipo sasa. Nikikuonyesha picha niliyo piga na Bananga utacomment nini. Tunaomba mungu mtaelewa taratibu wananchi...
Kabisa mkuu Dr. Mkumbo anzisheni mi nitakuwa mwanachama wa mkoa wa Arusha hakikisheni ni mu wakweli na wawazi. Fanyeni haraka watanzania wanateketea kwa upotofu.
Mh. Umekosea sana kujibu kimya pia ni jibu tena sahihi. Muungwana akidondokwa na nguo huchutama wewe una simama. Chuchumaa mama kusitiri maungo. Mtafute kijana gizani mpe anachotaka mmalizane kimya kimya. Tusiku sikie tena kwenye mitandao wala gazetini. Anae kushauri malumbano anazidi kukuacha uchi.
Ni haki yake kukueleza fikra zake. Na si kila wakati kuwa negative kwenye mawazo ina wezekana kafika alichokuwa anataka kapata kwa hiyo hataki kupoteza muda wazandiki wasije kuingilia raha zake.
Mnazidi kumpa nafasi huyu jamaa mwenye udini azidi kupandikiza mbegu zake, i beleave akikosa wa kumjibu au kulumbana nae atakaa kimya lets keep silence.
Idadi ya wadhamini si oni kama ni issue ya msingi. Ushauri wangu wa msingi kwa uma wa tanzania tumpigie kura dr. Slaa kwa wingi sana pamoja na wabunge wengi wa upinzani ili bunge letu liweze kuwa la ukweli na hakika d. Slaa this time hatoweza kumuangusha raisi kikwete lakini tukiwa na wabunge...
Vijana si kwamba wana kumbukwa, ila wanahofu na mademu, wake zao kuwa wana wakumbuka wanaume walio wabikiri. huo ni woga wao tu wapendeni wenza wenu kwa dhati nao watawapenda. Palipo pita masumari hapa achi kuacha kovu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.