Chief of staff kazi yake sio kumshauri Rais mambo ya nchi...
Chief of staff ni mkuu wa watumishi wote wa ikulu, kuratibu safari za Rais, usalama, shughuli zote za ikulu, wageni nk
Nilienda lodge moja Tanga, sasa ile kufika akaja jamaa na dem(sijui mke wa mtu yulee)..
Sasa dada akawa anatuonesha chumbaa...
Ile amefungua chumba cha kwanza jamaa bila hata kukiangalia akamvuta dem wake na kubamiza mlango kwa kunyanduanaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilicheka sana, yani...
Kaka...
Bakhresa ni kampuni kaka, kuna vigogo wameficha ela zao nyingi sana hapo..
Kuna makampuni mengine yanafunguliwa chini ya mwamvuli wa Azma kumbe ela za watu...
Ni kwakua Jamaa hana kiherehere na mdomo kama Mo, ndo mana ngumu kujua....
Kwenye Bakhresa group unaweza kuta yeye ana hisa za...
Hao wanamuhitaji Ukraine kuliko Ukraine anavyowahitaji wao....
Ulaya na Marekani wanajua Urusi akikamata Ukraine basi na wao watakua wanaishi na wasiwasi mkubwaa..., hawatapata usingizi....
Hivyo hakuna deni lolote Ukraine atailipa Marekani,
Rekebisha andiko lako hapo juu, kuhusu Kibg George VI kukosa mtoto wa kiume ndo mana Elizabeth akarithi....
Ufalme hauangalii jinsia hapo mzee, bali nani aliyetangulia kuzaliwa...
Huyo George VI angekua na mtoto wa kiume wa pili kuzaliwa asingekua mfalme, Malkia angeendelea kushika usukani
Mkuu,
Kuna kesi moja, naibu katibu wa CWT( chama cha walimu) alifukuzwa kazi na Katibu mkuu utumishi...
Jamaa alikata rufaa tume, akashindwa, akakata rufaa kwa Rais akashindwa.
Jamaa alienda Mahakama kuu, alishinda ile kesi. Alishinda kwa sababu KM UTUMISHI hana mamlaka ya kumfukuza mwalim kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.